Tansy
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 3,946
- 8,941
Hahaha eti akute imeiisha tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sehemu ya nne........
CHUMBANI KWA WARIDI.
Haya sasa tuendelee...
Baada ya kuogeshana na kusuguana, tulitoka mle bafuni tukiwa watupu kama tulivyozaliwa. Warida alitangulia mbele mimi nikimfuata kwa nyuma.
Mashallah! Warida ameumbwa akaumbika. Alivyokuwa anatembea nilitamani nimrukie nikamate hayo makalio yake yaliyokuwa yanayumbayumba kama maji ya kwenye beseni yaliyotikiswa.
Kwa ukubwa wa makalio yake, matone ya maji yaliyokuwa yakitiririka kutoka kwenye nywele zake ndefu za singasinga hayakuweza kudondoka chini, yalipita kwa kasi kutoka shingoni, hadi mngongoni na kisha kuelekea kwenye mfereji katikati ya materkow.
Hatimaye Tukawa tumefika kwenye mlango wa chumba cha Waridi. Ile anafungua mlango, macho yangu yanakutana na kioo kilichoakisi mwonekano wa mbele wa Waridi, kuanzia usoni hadi kwenye mapaja. Chuchu zake zilizokuwa zimesima na kutuna mithini ya embe dodo bichi. Kulingana uimara wa chuchu za waridi, matone ya maji yaliyokuwa yanatiririka kutokea usoni yalitengeneza makazi juu ya chuchu hizo.
Ile kuzama ndani, nakutana na kitanda 6 kwa 6, kilichotandikwa kwa matandiko ya kimisri. Pembeni ya kitanda kuna kiti aina ya arm-chair, na meza ya plastiki iliyobeba aina mbalimbali ya vipodozi na makorokocho yote ya kujiweka sasa kimwonekana.
Waridi alichukua taulo iliyokuwa inaningia kwenye hanger nakuanza kujifuta taratibu. Alipitisha taulo kuanzia usoni hadi kwenye chuchu zake imara.
Wakati wote huo, kichwa changu cha chini kimenyooka kama rula. Uzalendo ukanishinda, ikanibidi nimkumbatie kwa nyuma, huku mkono wangu wa kushoto ukichezea chezea embe dodo kifuani mwa Waridi na mkono wa kulia ukisaidizana na mkono wa waridi kufuta matone kwenye uvungu wa paja la kushoto la waridi.
MWINGINE ANAYEWEZA KUENDELEZA NILIPOKOMEA NAOMBA ACHUKUE USUKANI ILI MWENYE UZI AKIJA AKUTE STORI IMEISHAAAA
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app