kiben10
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 616
- 789
Waungwana leo nimeufya nimekutana na hili JANGA sasa vijana wenzangu hapa baada ya bint mwenyewe kunieleza ukweli na kunionesha Card ya Clinik ndipo nimeamini ila ndio wakati nimeshaanza maandalizi tayari. Puresha ikapanda ila sasa baada ya kanceling ndio kidogo imepoa.
Sasa nauliza naweza pata Ukimwi???
Sasa nauliza naweza pata Ukimwi???