Sura-ya-Kwanza
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 567
- 10
Baada ya kutoa dukuduku ya Uwezekano wa JF kugeuzwa kuwa chama cha siasa, mitafaruku yaanza kuonekana katika baadhi ya wana JF hao.
Baadhi ya wakereketwa wamesikika wakisema wanajitoa mhanga kwa kile kinachosemekana kuwa wana JF kadhaa walikuwa hawana imani na HE.J.K.... kwa hivyo basi wanarudi kwenye chama tawala
Mmoja wao alinukuliwa..."Kwa kadri ninavyochukia dhana na mifumo ya vyama vya siasa na siasa zenyewe (kama zilivyo na zinavyoendeshwa Bongo), naanza kukusanya virago vyangu kuondoka humu kama kweli jambo hili litaonesha dalili zozote kudhihirika hapo baadae!", alikaririwa.
Kwa kuwa wana JF wamejizatiti baadhi ya wanachama wake wakereketwa wamewataka wanachama hao kungatuka!
Vyanzo vya habari hizi zinapatika katika midahalao mingi ndani ya JF!
By Thread-o-journalist
Baadhi ya wakereketwa wamesikika wakisema wanajitoa mhanga kwa kile kinachosemekana kuwa wana JF kadhaa walikuwa hawana imani na HE.J.K.... kwa hivyo basi wanarudi kwenye chama tawala
Mmoja wao alinukuliwa..."Kwa kadri ninavyochukia dhana na mifumo ya vyama vya siasa na siasa zenyewe (kama zilivyo na zinavyoendeshwa Bongo), naanza kukusanya virago vyangu kuondoka humu kama kweli jambo hili litaonesha dalili zozote kudhihirika hapo baadae!", alikaririwa.
Kwa kuwa wana JF wamejizatiti baadhi ya wanachama wake wakereketwa wamewataka wanachama hao kungatuka!
Vyanzo vya habari hizi zinapatika katika midahalao mingi ndani ya JF!
By Thread-o-journalist
Last edited: