We jamaa nasikia ni Wakili, kweli au uongo?! Anyway, sio issue! Kwahiyo kumbe hukumu ya Ivory Queen imetolewa na serikali?! Halafu; na zile kesi zenye maslahi kwa taifa ambazo watuhumiwa huwa wanakutwa hawana hatia itakuwa ni sahihi na hapo tukiihusisha serikali?Nikiwa mtanzania mzalendo, najitokeza hadharani kuipongeza Serikali kwa hatua ya kesi hii. Pamoja na uwezekano Wa uwepo Wa rufaa Mahakama Kuu, itoshe kusema kuwa hukumu ya Leo itakuwa funzo tosha.