Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
habari wadau zenu wadau natumai mko powa.
Jamani mimi nimemaliza darasa la saba mwaka 2001 ila tangu juzi kuna marafiki zangu
tuliokuwa tunasoma darasa moja shule ya msingi. Walinitumia meseji kwamba .
Katika watu tuliosoma pamoja wameandaa sherehe ya flani ya watu tuliosoma pamoja kuweza kuonana. Sehemu flani ivi tukutane huku tukipata vinywaji na kubadilishana mawazo.....na kukumbushana mengi ya zamani.
Swali je, School reunion zina umuhimu gani Maana ukiangalia baada ya watu kumaliza shule muda mrefu mkionana watu mtakuwa mnatofautiana kuna wengine wameowa, kuna wengine wako sehemu nzuli serikalini, kuna wengine mambo yao mazuli ,
Kuna wengine hali yao ya kimaisha ngumu.
Jamani mimi nimemaliza darasa la saba mwaka 2001 ila tangu juzi kuna marafiki zangu
tuliokuwa tunasoma darasa moja shule ya msingi. Walinitumia meseji kwamba .
Katika watu tuliosoma pamoja wameandaa sherehe ya flani ya watu tuliosoma pamoja kuweza kuonana. Sehemu flani ivi tukutane huku tukipata vinywaji na kubadilishana mawazo.....na kukumbushana mengi ya zamani.
Swali je, School reunion zina umuhimu gani Maana ukiangalia baada ya watu kumaliza shule muda mrefu mkionana watu mtakuwa mnatofautiana kuna wengine wameowa, kuna wengine wako sehemu nzuli serikalini, kuna wengine mambo yao mazuli ,
Kuna wengine hali yao ya kimaisha ngumu.