Kukutana kimwili na mwanamke anayenyonyesha kuna madhara kwa mtoto

Tprecious

JF-Expert Member
Aug 29, 2018
224
296
Naomba wataalamu mnisaidie kumekuwa na maneno mengi kuhusu kufanya mapenzi na anayenyonyesha kwamba utamsababishia matatizo mtoto je kwa mfano inatakiwa kukutana mara ngapi kwa wiki kwa mwanamke anayenyonyesha?
 
Ni kosa kubwa la kimtaani kosa lijulikanano KUBEMENDA kama ilivyofanyiwa marekebisho mara kwa mara kutoka kosa mama OMWANA EBISISI na adhabu yake ni kubwa saana
 
Aiseeee.. Africa is for Africans, Black Africans.

Ndo sisi pure Africans mliotuletea u ma gharibi wenu... tulikuwa na maisha yetu matamuuuuuu bila makansa na matakataka mengine! mavidonge yenu ya majira na uzungu wenu umetuharibia maisha. Mila na desturi zetu ambazo leo zinaonekana za kishamba...... mfyuuuuuuuu!
 
Naomba wataalamu mnisaidie kumekuwa na maneno mengi kuhusu kufanya mapenzi na anayenyonyesha kwamba utamsababishia matatizo mtoto je kwa mfano inatakiwa kukutana mara ngapi kwa wiki kwa mwanamke anayenyonyesha?

1. Mama kutembea nje ya baba wa mtoto ni nikumkaribishia mtoto matatizo
- homa za hovyohovyo nakukosa furaha na utasumbuka sana kutibu mtoto lakini atakuwa mdhoofu muda wote.

2. Mke na mume (baba na mama wa mtoto)
Hakuna tatizo isipokuwa mnaweza kutunga mimba nyinge mapema sana msipokuwa makini kiasi kwamba huyo anayenyonya akaathilika nakukosa afya bora kwasababu mama yake mjamzito na hivyo maziwa yake mushkeli kunyonywa sio salama sana.... yamechacha.

Mama kutembea na mwanaume asiyebaba wa mtoto kunamuathili mtoto kwasababu ya chemikali za majasho nk apatazo mama kutoka kwa mvamizi.
 
wapo wanaosema mkikutana halaf msioge mtoto hudhurika hivo mkishamaliza shughuli yenu zingatieni usafi

Ukitoka nje ya baba yake mzazi usishangae kupata matatizo japo ulioga

Kwa wanaume wanaotoka nyumba ndogo nao hawatakiwi kutoka huko alikokuwa anafanya ufusuka kisha anafika home anashika mtoto. Hakika katoto katawasumbua sana.

Akitoka huko
1. Avue nguo zote na kuziweka mbali ya mtoto au anapolala mtoto.... asigusane

2. Aoge kisawasawa

3. Badilisha nguo zote mpaka chupi

4. Usimshike/usimchukuwe mtoto labda mpaka kesho yake.

Zile kemikali mlizo-generate wakati wa tendo, huwa zina-impact kubwa sana na kuathili afya ya mtoto.

Ukitaka mtoto mchangamfu, mwenye afya zingatia sana kutofanya ngono hovyohovyo nje ya mke(mpenzi)/mme mileyezaa Naye

Watoto huathilika vibaya sana kwa mmoja wapo au wazazi kufanya ngono hovyohovyo.
 
Ndo sisi pure Africans mliotuletea u ma gharibi wenu... tulikuwa na maisha yetu matamuuuuuu bila makansa na matakataka mengine! mavidonge yenu ya majira na uzungu wenu umetuharibia maisha. Mila na desturi zetu ambazo leo zinaonekana za kishamba...... mfyuuuuuuuu!
Mkuu mbona unahasira sana na Mimi? Mimi naumagharibi wapi na wapi? Me mwenyewe mtoto wa mbwa tu.
 
1. Mama kutembea nje ya baba wa mtoto ni nikumkaribishia mtoto matatizo
- homa za hovyohovyo nakukosa furaha na utasumbuka sana kutibu mtoto lakini atakuwa mdhoofu muda wote.

2. Mke na mume (baba na mama wa mtoto)
Hakuna tatizo isipokuwa mnaweza kutunga mimba nyinge mapema sana msipokuwa makini kiasi kwamba huyo anayenyonya akaathilika nakukosa afya bora kwasababu mama yake mjamzito na hivyo maziwa yake mushkeli kunyonywa sio salama sana.... yamechacha.

Mama kutembea na mwanaume asiyebaba wa mtoto kunamuathili mtoto kwasababu ya chemikali za majasho nk apatazo mama kutoka kwa mvamizi.
N sayansi ipi inatofautisha hayo mambo.? Yn kitu gn kwenye mwili wa mwanamke kitatofautisha kuwa huu ni mwili wa baba wa mtoto na huyu sio baba wa mtoto.

Ukishindwa kujibu bc umeandika Pumba.

NB: hakuna madhara yoyote atakayopata mtoto, cha msingi ni usafi tuu kwa mama na huyo anayekulana nae.
 
Back
Top Bottom