Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,395
- 92,716
Shule jamani shule,
Tuko ndani ya mwezi December xmass hiyo around the corner, kwa wale Wazazi wenzangu tuliogoma kusomesha watoto zetu kwenye shule za Umma tunajukumu mbele yetu.
Kinachonisikitisha Watanzania japo si wote tunaishi kiholela holela bila mipango wala bajeti, utadhani mwezi December haupo kwenye kalenda na January huwa inasubili kama mwandamo wa mwezi.
Madhumuni ya thread hii ni kukumbushana kama mfuko umekaa vizuri ni jambo la heri kabisa kuwahi benki na kulipa school fees ya mtoto/watoto na ubaki na pay in slip yako kwa ajili ya kuifikisha shuleni siku ya kwanza shule itakapofunguliwa.
Msisubili January hiyo muanze maandalizi ya zima moto tuanze kupigana mizinga na kujiingiza kwenye mikopo ya riba ambayo haina maana yoyote, wote tumechoka lakini kidogo tunachopata tunajitahidi kuishi kwa bajeti na malengo.
Na wale Wazee wa nyumba ndogo nawaomba kama unasomesha mwezi huu ziambie zikukalie mbali kabisa umebanwa na familia muonane after January.
Ni hayo tu mtaikumbuka thread hii siku si nyingi.......
Tuko ndani ya mwezi December xmass hiyo around the corner, kwa wale Wazazi wenzangu tuliogoma kusomesha watoto zetu kwenye shule za Umma tunajukumu mbele yetu.
Kinachonisikitisha Watanzania japo si wote tunaishi kiholela holela bila mipango wala bajeti, utadhani mwezi December haupo kwenye kalenda na January huwa inasubili kama mwandamo wa mwezi.
Madhumuni ya thread hii ni kukumbushana kama mfuko umekaa vizuri ni jambo la heri kabisa kuwahi benki na kulipa school fees ya mtoto/watoto na ubaki na pay in slip yako kwa ajili ya kuifikisha shuleni siku ya kwanza shule itakapofunguliwa.
Msisubili January hiyo muanze maandalizi ya zima moto tuanze kupigana mizinga na kujiingiza kwenye mikopo ya riba ambayo haina maana yoyote, wote tumechoka lakini kidogo tunachopata tunajitahidi kuishi kwa bajeti na malengo.
Na wale Wazee wa nyumba ndogo nawaomba kama unasomesha mwezi huu ziambie zikukalie mbali kabisa umebanwa na familia muonane after January.
Ni hayo tu mtaikumbuka thread hii siku si nyingi.......