emasingija
New Member
- Apr 23, 2019
- 4
- 3
Habarini ndugu wafugaji na wakulima,
Nina kuku wa mayai ambao wana mda wa miezi mitatu toka wameanza kutaga mwanzo walikuwa wanaenda vizuri kila wiki utagaji ulikuwa unapanda nilifikia tray 6 kwa siku lakini mpaka leo nakusanya tray 4 shida yawezakuwa nini ndugu.
Msaada changamoto zinazopelekea hiyo hali.
Nina kuku wa mayai ambao wana mda wa miezi mitatu toka wameanza kutaga mwanzo walikuwa wanaenda vizuri kila wiki utagaji ulikuwa unapanda nilifikia tray 6 kwa siku lakini mpaka leo nakusanya tray 4 shida yawezakuwa nini ndugu.
Msaada changamoto zinazopelekea hiyo hali.