Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No jambo jema na litatusaidia sana kama tutakuwa na leoHiii nzurii mkuuu
Mchinje kula nyama mkuu. Mayai yake utakuwa umeyafaidi si yapo ndani hayataki kutokaWakuu habarini za asubuhi Nina Kuku wangu tetea alitaga mzao Wa kwanza mayai 8 akakataa kuyatamia
Ilipofika muda Wa kutaga mzao wake Wa pili alianza kutetea kwa kasi sana na akitaka kutaga anaingia mahali pa kutagia anakaa hapo karibu nusu SAA anatoka nje bila kutaga yai hali hii imejirudia sana takribani wiki ya tatu sasa ......
Naomba ushauri wenu wakuu
NB; usiwe kuchinja
Jogoo wako kawa legelege sana,msaidie majukumu.Sijakuelewa mkuu hata
Baada ya kutagaWakuu habarini za asubuhi Nina Kuku wangu tetea alitaga mzao Wa kwanza mayai 8 akakataa kuyatamia
Ilipofika muda Wa kutaga mzao wake Wa pili alianza kutetea kwa kasi sana na akitaka kutaga anaingia mahali pa kutagia anakaa hapo karibu nusu SAA anatoka nje bila kutaga yai hali hii imejirudia sana takribani wiki ya tatu sasa ......
Naomba ushauri wenu wakuu
NB; usiwe kuchinja
Atakua na upungufu wa vitamin, mnunulie Vitamin au kuna dawa inaitwa Egg Booster, wanayotumia wafugaji wa kuku wa mayaiWakuu habarini za asubuhi Nina Kuku wangu tetea alitaga mzao Wa kwanza mayai 8 akakataa kuyatamia
Ilipofika muda Wa kutaga mzao wake Wa pili alianza kutetea kwa kasi sana na akitaka kutaga anaingia mahali pa kutagia anakaa hapo karibu nusu SAA anatoka nje bila kutaga yai hali hii imejirudia sana takribani wiki ya tatu sasa ......
Naomba ushauri wenu wakuu
NB; usiwe kuchinja
Kwani kampeni ya Uzazi wa Mpango unadhani hawajaisikia?
Egg Booster pia ni mchanganyiko wa vitamin tu, ukiwapa halafu wakapata maji na chakula vizuri huongeza production ya mayai sanaSawa mkuu nitaufata ushaur huu
Kumchinja!Hili linawezekana labda baada ya kumchinja nitajuaa
Yupo humu humu JF anaitwa Tutor B. Akiingia JF atakuja kukushauri kwa kuwa nimesha mtagiMkuu huyo mtaalamu nitampataje???
Mie kuku huwa nawapa pumba na mashudu ya pamba