Ni vigumu kuwatambua,ila kwa matetea utaona tuu hawalalii mayai.Mkuu unawezaje kumtambua kuku chotara na sifa zake ni zip?
Labda watalamu wa kuku waje watujulishe namna ya kumtambua kuku chotara
Ni vigumu kuwatambua,ila kwa matetea utaona tuu hawalalii mayai.Mkuu unawezaje kumtambua kuku chotara na sifa zake ni zip?
Hapa naona umtafute Kajala atakuwa na jibu sahihi.Habari za majukumu wakuu,naomba kuuliza hivi Kuku wa kienyeji baada ya kutaga uchukua muda gani kuanza kuyalalia mayai
Hiyo ni sababu tena kubwa tu maana kuku wa kienyeji ukimhamishia mayai yake ana tabia ya kususa, kama zimepita siku 4 hawezi tena kulalia maana vichocheo vya kumfanya alalie vimeisha. Muache tu ndani ya wiki mbili ataanza tena kutaga, safari hii usimsumbue.Mkuu kuku wangu Kuna mahali alitagia mazingira hayakuwa mazuri nikayaamisha lkn baada ya siku moja akataga mahali nilipomwamishia je hi inaweza kuwa sababu ya kutokulalia na je nifanyeje ili aweze kulalia
Na Kuku wanne mkuuUnakuku wangapi
Na Kuku wanne mkuu
Shukran mkuuMwanzo mzuri
Anapotaga yai la mwisho siku hiyo hiyo anaatamiaHabari za majukumu wakuu,
Naomba kuuliza hivi Kuku wa kienyeji baada ya kutaga uchukua muda gani kuanza kuyalalia mayai.
Chotara wanakuwa na vishungi vikubwa tofauti na kienyeji hata mashavu sijui masikio Yale ya chini ya kichwa huwa makubwa piaMkuu unawezaje kumtambua kuku chotara na sifa zake ni zip?