Habari wanajamvi, ninauza kuku wa kienyeji.unaweza kuletewa mpaka ulipo kwa wakazi wa dodoma bei sh.10000@ wakiwa tayari wameshaandaliwa ( kuchinjwa na kusafishwa).kwa anaetaka wazima pia wapo bei ni ile ile.kwa anaehitaji anipm tutawasiliana.karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.