Kuku gani nifuge kibiashara?

Ufugaji ni noma sana nataka niamie huko rasmi kwa kwelii… nifuge kuku wa mayai inabdi niende mahali nikapate shule nzito Sanaa kuhusu ufugaji huu alafu niwe serious sasaa..!!!
Yap,kama ni idadi kubwa ni lazima uwe na wasaidizi ila kama ni wacheche komaa tu wangu watakutoa.
 
Fuga kuku aina ya kuchu being yake wanaanzia 50000- 100000 utanishukuru baaadaye
 
Fuga kuku aina ya kuchu being yake wanaanzia 50000- 100000 utanishukuru baaadaye

..vifaranga vya kuchi vinapatikana wapi?

..kuchi ana sifa zipi mpaka auzwe shs 50,000 mpaka 100,000?

..labda pia ungetueleza wateja wa kuchi ni watu wa aina gani.

..karibu sana utupe elimu wasomaji wako.
 
Kama una soko la uhakika fuga kuku wa nyama broiler.
Kama hauna uhakika wa soko la kuku wa nyama fuga kuku wa mayai layers.
Usithubutu wala kujaribu kufuga kibiashara kuku wa pure kienyeji.
Ila kama upo makini kiufugaji na unataka mafanikio na mtaji wa kutosha unao,eneo zuri la kufuga unalo basi fuga kuku wa mayai my friend,angalau wasipungue kuku wa mayai kuanzia 1000 hivi utakula mema ya nchi mpaka utakinai.
Hao kuku wa Mayai ndo wanaitwa "Layers"?

Asante mkuu, pia na mimi nimepata mwanga.
 
Je, una mtaji wa kutosha?!

Kama una mtaji wa kutosha basi fuga kuku wa mayai! Mbegu za siku hizi ni bora sana kiasi kwamba, ukifuata kanuni bora za ufugaji basi kila siku utaokota mayai hadi 90% ya idadi ya kuku wako!

Hii maana yake ni kwamba, ukiwa na kuku 1000, basi kwa siku unaweza kupata mayai 900 ambazo ni trey 30.

Ninaposema kanuni bora za ufugaji ni pamoja na banda ya kisasa lenye ventilation ya kutosha na hivyo kuwawezesha kuku kupata hewa ya kutosha, and in turn, kutokuwa wavivu wa kula! Kuku akila vizuri ina-guarantee utagaji mzuri!!

Ninaposema kanuni bora za ufugaji pia tunaangalia utolewaji wa chanjo at the right time!! Ukishajenga tu banda, kabla hujaweka kuku, onana na mtaalamu wa mifugo akushauri!!!

Ninaposema kanuni bora za ufugaji ni pamoja na kutowabania chakula! Kuku anayepunjwa chakula hawezi kutaga vizuri lakini kwa bahati mbaya sana, chakula cha kununua ni very expensive, ndo sababu ya watu kuwabania kuku chakula bila kujua utakuwa unawabania kutaga vile vile!!

Kwavile chakula ni very expensive, unashauriwa kutengeneza mwenyewe kwa kutumia formular maalumu, na sio kuchanganya changanya tu hovyo hovyo!!!

NInaposema kanuni bora za ufugaji ni pamoja na kuhakikisha banda linakuwa safi and free from majimaji! Banda chafu na lenye maji maji ni chanzo cha magonjwa kwa kuku!!

Ninaposema kanuni bora za ufugaji, ni pamoja na kuweka kitu cha kupangusia miguu kwenye mlango wa banda ili kuhakikisha hutoi vijidudu huko nje na kuingia navyo bandani! Hakikisha hiki kifutio kinakuwa disinfected regularly!

REMEMBER, kuku anaweza kutaga kwa miaka 2 (miezi 24) however, wakishafikisha miezi 18 rate ya mayai itakuwa ina-drop! Best economic practice ni kufikiria kuwasimamisha ikishafika miezi 18 hata kama bado wanataga UNLESS ujiridhishe idadi ya mayai wanayotaga inakupa pesa ya kutosha kuweza ku-cover costs zote, na wewe kubaki na faida!

REMEMBER, bei kubwa ya vifaranga utakuja ku-compansate kwa kuuza hawa kuku unaowaachisha kutaga!!

Katika hali ya kawaida, kila siku utakuwa unaingiza almost 50% ya total variable costs, na kama chakula unatengeneza mwenyewe, basi utakuwa unaingiza over 50%!

REMEMBER, kuku wa mayai unawahudumia angalau miezi 5 bila kuingiza hata senti 5... yaani ni kukuchomoa tu!

That being said, make sure una mtaji wa kutosha, and to be safe, weka kiasi pembeni ambacho hicho kitakuwa kwa ajili ya kuhudumia kuku tu... especially chakula!!!

Usipofuata ushauri huo hapo juu, kuna hatari itafika siku au hata wiki huna pesa na kuku wanahitaji kula! Matokeo yake, utaanza kuwabania msosi!!!

Kwa maana nyingine, kama huna mtaji wa kutosha basi anza na kuku wa nyama lakini pia hakikisha unafuata kanuni hizo hapo juu kwa sababu na washikaji na wenyewe wanakula balaa!!!

HOWEVER, make sure unapata uhakika wa soko kwamba na usipofanya hivyo, utalazimika kuendelea kuwalisha wakati walitakiwa tayari wawe sokoni, na hivyo kukuongezea gharama zisizo na msingi, and in turn loss or faida kiduchu!

Kuku wa Kienyeji sikushauri unless kama unataka kufanya Free Range; ufugaji ambao sio mzuri kibiashara!!!
Ni very usefull...Ubarikiwe sana Mkuu.
 
Ufugaji ni noma sana nataka niamie huko rasmi kwa kwelii… nifuge kuku wa mayai inabdi niende mahali nikapate shule nzito Sanaa kuhusu ufugaji huu alafu niwe serious sasaa..!!!
Huwezi kufa masikini.Tena fuga kuanzia elfu moja,utakuja kutoa ushuhuda.Soko la Mayai liko wazi huitaji hata kutumia nguvu,tofauti na broiler na Kienyeji.Yaani Mayai yaliyopo bado hayajatosheleza soko lililopo.Cha msingi ni kuhakikisha unafata kanuni bora za ufugaji kuzuia vifo,Pia chanjo.Ukifuga kisasa kuku hata hawafi kihivyo.pia mabanda ya kufugia yawe bora.Hakikisha tu unafuga kisasa.Sio kibahiri bahiri.
 
Nadhan ufugaj ni asili tu..toka naanza maisha nilianza kufuga ila sikua nafuga wa kuuza..kwahiyo nilikua nafuga ilimrad nipate kuku wa kula...so hata chanjo sikua nawapa..kwahiyo kuku wemgi wakawa wanarest in peace .sikua najali as nikitaka kuku napata wa kuchinja..
Last yr nikakutana na mama anafuga kuku wengi balaa..tena ana eneo dogo tu huko kahama...nikajiona mie mjinga.maana nna eneo kubwa kila sk najaza maua tu..so jan nikaanza okota mayai siwawekei kuku walalie naenda kautotoresha napata vifaranga vingi zaidi
Nawapa chanjo zote..7 dys,14 dys,21dys na wakifikisha 3mths!
Nafuga kienyeji kwasababu its a SIDE HUSTLE....sio biashara nayotegemea kwamba iniweke mjini ..
Niliwah fuga broiler miaka hiyo wakafa wote nilianza kipindi kibaya nilikua 🤰 kwahyo usimamizi ukawa F,
Changamoto nnayopata kipinfi hiki cha mvua kuku zimekufa aisee ...lakini naambiwa ni kwasababu ya hali ya hewa,
Ulishaji nawapa chakula special wanadai ukiwapa pumba tu wanadumaa..kwahuo wakiwa wadogo had mwez 1 nawapa kile chao special starter wakimaliza hicho nawabadilishia..
Changamoto nnayokumbana nayo nimeambiwa banda ni dogo coz kila wk napokea kuku...kwahyo wanabanana...ndo nikaambiwa pia sababu ya kufariki ..kwahyo nimewakatia vizimba nikaweka singboad kutenganisha ukiwamix wakubwa na wadogi wanaonewa sana wanang'atwa sana .na wanamaliziwa msos na wakubwa .yaan usiwamix waliofikisha 2wks na wapya wa siku 1 ..ni headache kwakweli...so this wk ninastop kupeleka mayai nikomae nao hawa kwanza,
La mwisho nilinunua pia hawa machotara kama kuku 40🙌🙌🙌 chotara anakula usk mzima..kwahyo changamoto ni hiyo wanakula mno mno mno afu wanavurugu balaa ....hawa niliamua kumix ili nipate mbegu fulan maana nna kuchi pia...kwakweki wanakula sijapata kuona na kilo 1 nanunua 1300! Kuku kirnyrji 10 wadogo wanakula kilo 1 kwa siku 2 ..chotara masaa3 hakuna msosi!
Mkuu samahani naomba angalau makadilio. Hata ukikadilia juu,inaweza kugharim kiasi gani mpk waanze kutaga kuku 1000 wa mayai? Makadilio yasihusishe banda.
 
Kama unataka kufuga wa kienyeji nakushauri hivi nunua hata 100 wakiwa wamekua kua wapige posho then watoe .Kwa huku nilipo nilikuwa naletewa wasize yakati kwa buku 4 mi nawapa posho na dawa miezi 4 nawasukuma sokoni kwa 10 hakuna kuchagua we beba tu Kama una 10 lako.Hii kazi ilinishinda kutokana na ulevi na madeni.Ila si haba.
 
Nadhan ufugaj ni asili tu..toka naanza maisha nilianza kufuga ila sikua nafuga wa kuuza..kwahiyo nilikua nafuga ilimrad nipate kuku wa kula...so hata chanjo sikua nawapa..kwahiyo kuku wemgi wakawa wanarest in peace .sikua najali as nikitaka kuku napata wa kuchinja..
Last yr nikakutana na mama anafuga kuku wengi balaa..tena ana eneo dogo tu huko kahama...nikajiona mie mjinga.maana nna eneo kubwa kila sk najaza maua tu..so jan nikaanza okota mayai siwawekei kuku walalie naenda kautotoresha napata vifaranga vingi zaidi
Nawapa chanjo zote..7 dys,14 dys,21dys na wakifikisha 3mths!
Nafuga kienyeji kwasababu its a SIDE HUSTLE....sio biashara nayotegemea kwamba iniweke mjini ..
Niliwah fuga broiler miaka hiyo wakafa wote nilianza kipindi kibaya nilikua kwahyo usimamizi ukawa F,
Changamoto nnayopata kipinfi hiki cha mvua kuku zimekufa aisee ...lakini naambiwa ni kwasababu ya hali ya hewa,
Ulishaji nawapa chakula special wanadai ukiwapa pumba tu wanadumaa..kwahuo wakiwa wadogo had mwez 1 nawapa kile chao special starter wakimaliza hicho nawabadilishia..
Changamoto nnayokumbana nayo nimeambiwa banda ni dogo coz kila wk napokea kuku...kwahyo wanabanana...ndo nikaambiwa pia sababu ya kufariki ..kwahyo nimewakatia vizimba nikaweka singboad kutenganisha ukiwamix wakubwa na wadogi wanaonewa sana wanang'atwa sana .na wanamaliziwa msos na wakubwa .yaan usiwamix waliofikisha 2wks na wapya wa siku 1 ..ni headache kwakweli...so this wk ninastop kupeleka mayai nikomae nao hawa kwanza,
La mwisho nilinunua pia hawa machotara kama kuku 40 chotara anakula usk mzima..kwahyo changamoto ni hiyo wanakula mno mno mno afu wanavurugu balaa ....hawa niliamua kumix ili nipate mbegu fulan maana nna kuchi pia...kwakweki wanakula sijapata kuona na kilo 1 nanunua 1300! Kuku kirnyrji 10 wadogo wanakula kilo 1 kwa siku 2 ..chotara masaa3 hakuna msosi!
Nataman kujua uzur na ubaya wa hawa chotora kiufugaj, kibiashara.......utagani,.nyama n.k
 
Je, una mtaji wa kutosha?!

Kama una mtaji wa kutosha basi fuga kuku wa mayai! Mbegu za siku hizi ni bora sana kiasi kwamba, ukifuata kanuni bora za ufugaji basi kila siku utaokota mayai hadi 90% ya idadi ya kuku wako!

Hii maana yake ni kwamba, ukiwa na kuku 1000, basi kwa siku unaweza kupata mayai 900 ambazo ni trey 30.

Ninaposema kanuni bora za ufugaji ni pamoja na banda ya kisasa lenye ventilation ya kutosha na hivyo kuwawezesha kuku kupata hewa ya kutosha, and in turn, kutokuwa wavivu wa kula! Kuku akila vizuri ina-guarantee utagaji mzuri!!

Ninaposema kanuni bora za ufugaji pia tunaangalia utolewaji wa chanjo at the right time!! Ukishajenga tu banda, kabla hujaweka kuku, onana na mtaalamu wa mifugo akushauri!!!

Ninaposema kanuni bora za ufugaji ni pamoja na kutowabania chakula! Kuku anayepunjwa chakula hawezi kutaga vizuri lakini kwa bahati mbaya sana, chakula cha kununua ni very expensive, ndo sababu ya watu kuwabania kuku chakula bila kujua utakuwa unawabania kutaga vile vile!!

Kwavile chakula ni very expensive, unashauriwa kutengeneza mwenyewe kwa kutumia formular maalumu, na sio kuchanganya changanya tu hovyo hovyo!!!

NInaposema kanuni bora za ufugaji ni pamoja na kuhakikisha banda linakuwa safi and free from majimaji! Banda chafu na lenye maji maji ni chanzo cha magonjwa kwa kuku!!

Ninaposema kanuni bora za ufugaji, ni pamoja na kuweka kitu cha kupangusia miguu kwenye mlango wa banda ili kuhakikisha hutoi vijidudu huko nje na kuingia navyo bandani! Hakikisha hiki kifutio kinakuwa disinfected regularly!

REMEMBER, kuku anaweza kutaga kwa miaka 2 (miezi 24) however, wakishafikisha miezi 18 rate ya mayai itakuwa ina-drop! Best economic practice ni kufikiria kuwasimamisha ikishafika miezi 18 hata kama bado wanataga UNLESS ujiridhishe idadi ya mayai wanayotaga inakupa pesa ya kutosha kuweza ku-cover costs zote, na wewe kubaki na faida!

REMEMBER, bei kubwa ya vifaranga utakuja ku-compansate kwa kuuza hawa kuku unaowaachisha kutaga!!

Katika hali ya kawaida, kila siku utakuwa unaingiza almost 50% ya total variable costs, na kama chakula unatengeneza mwenyewe, basi utakuwa unaingiza over 50%!

REMEMBER, kuku wa mayai unawahudumia angalau miezi 5 bila kuingiza hata senti 5... yaani ni kukuchomoa tu!

That being said, make sure una mtaji wa kutosha, and to be safe, weka kiasi pembeni ambacho hicho kitakuwa kwa ajili ya kuhudumia kuku tu... especially chakula!!!

Usipofuata ushauri huo hapo juu, kuna hatari itafika siku au hata wiki huna pesa na kuku wanahitaji kula! Matokeo yake, utaanza kuwabania msosi!!!

Kwa maana nyingine, kama huna mtaji wa kutosha basi anza na kuku wa nyama lakini pia hakikisha unafuata kanuni hizo hapo juu kwa sababu na washikaji na wenyewe wanakula balaa!!!

HOWEVER, make sure unapata uhakika wa soko kwamba na usipofanya hivyo, utalazimika kuendelea kuwalisha wakati walitakiwa tayari wawe sokoni, na hivyo kukuongezea gharama zisizo na msingi, and in turn loss or faida kiduchu!

Kuku wa Kienyeji sikushauri unless kama unataka kufanya Free Range; ufugaji ambao sio mzuri kibiashara!!!
Hapa tayari Nina PhD ya ufugaji kuku wa mayai.
Nijuze kifaranga wa mayai Bei gani kwa sasa na gaharama zake kabla ajaanza kutaga jumla gharama ipoje
 
Na je, kwa anayefaham....ningeomba kujua kibiashara ni yupi kati ya hawa (kienyeji, broiler/nyama, mayai, au chotara) ni bora zaidi kuliko wengine kwa kuzingatia vigezo vyote muhimu kama gharama za ufugaji n.k.....??!!!
 
Back
Top Bottom