NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,002
Yap,kama ni idadi kubwa ni lazima uwe na wasaidizi ila kama ni wacheche komaa tu wangu watakutoa.Ufugaji ni noma sana nataka niamie huko rasmi kwa kwelii… nifuge kuku wa mayai inabdi niende mahali nikapate shule nzito Sanaa kuhusu ufugaji huu alafu niwe serious sasaa..!!!