Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
<br />Tumia akili wewe, tenga ni dogo kuliko mbuni. Aliyemuona anasema ni kuku sasa huyo mbuni utakuwa umemleta wewe?
<br />
u r mentally retarded!
<br />Tumia akili wewe, tenga ni dogo kuliko mbuni. Aliyemuona anasema ni kuku sasa huyo mbuni utakuwa umemleta wewe?
Kakukuruka vyema,
Kaachiwa na kuonyeshwa tundu la kutokea, badala yake kajidanganya kwa kutamani mbegu chache zilizobakia kwenye tenga. Anarudi, anarushiwa mchele wa kutosha nje ya tenga hataki kutoka kisa mahindi kiduchu. Kwa kiburi kabisa anajaribu kuwadonoa hata wale ambao wangemsaidia, anawatishia... anang'ang'ania kukaa kwenye tenga!
Kwakuwa ni 'kuku wa kizungu' tumwache tusifunike tenga na 'kumshughulikia'?