Nyota Ndogo
Senior Member
- Aug 7, 2011
- 150
- 33
Mkuu enzi hizo Boarding Jeshi! Tambaza nadhani baadae waliifunga ndio wakati huo wasema wewe, walitawanya wanafunzi wake nchni nzima! maana watoto wa Tambaza kwa kweli ilikuwa bangi na kitabu basi, ila walikuwa very strong. Baadhi yao ndio walikuja kuunda kundi la Black Mamba wakati wa uchaguzi wa 1995, Kikundi maarufu sana cha ukombozi unaweza kufananisha kidogo leo na JF na Makamanda. Ila Black mamba kilifika mbali kidogo ki malemgo.
kaka kwa tuliosoma sekondari enzi hizo tunajua suluba za life; hawa wanaoleta habari za JKT sasa hivi wala wasijisumbue maana wengine tumesha-qualify.