Kuku anaingia mwenyewe kwenye tenga...

Nyota Ndogo

Senior Member
Aug 7, 2011
150
33

Mkuu enzi hizo Boarding Jeshi! Tambaza nadhani baadae waliifunga ndio wakati huo wasema wewe, walitawanya wanafunzi wake nchni nzima! maana watoto wa Tambaza kwa kweli ilikuwa bangi na kitabu basi, ila walikuwa very strong. Baadhi yao ndio walikuja kuunda kundi la Black Mamba wakati wa uchaguzi wa 1995, Kikundi maarufu sana cha ukombozi unaweza kufananisha kidogo leo na JF na Makamanda. Ila Black mamba kilifika mbali kidogo ki malemgo.


kaka kwa tuliosoma sekondari enzi hizo tunajua suluba za life; hawa wanaoleta habari za JKT sasa hivi wala wasijisumbue maana wengine tumesha-qualify.
 

Steven Robert Masatu

JF-Expert Member
Aug 7, 2009
2,464
1,821
i like the way you represented the thread big up invinsible.

inabidi kuku aachiwe too as long as hana haja ya kufata mchele wa nje ya tenga hayo maindi ya ndani yanamtosha. kwanza anaonyesha jinsi gani sio mlafi hapend vitu vya nje, anaridhika na vya ndani la tenga lake. kilichobak ili kumkamata vizuri au tufumbe macho tuchome na tenga jenyewe anaweza akawa kuku wa sumu.
 

reandle

JF-Expert Member
May 6, 2009
11,175
8,113
Kakukuruka vyema,

Kaachiwa na kuonyeshwa tundu la kutokea, badala yake kajidanganya kwa kutamani mbegu chache zilizobakia kwenye tenga. Anarudi, anarushiwa mchele wa kutosha nje ya tenga hataki kutoka kisa mahindi kiduchu. Kwa kiburi kabisa anajaribu kuwadonoa hata wale ambao wangemsaidia, anawatishia... anang'ang'ania kukaa kwenye tenga!

ni 'kuku wa kizungu' tumwache tusifunike tenga na 'kumshughulikia'?
Kwakuwa

Kweli hamjaelewa au mnamuhifadhi??!! c brother ben huyu aliyeelekea Igunga??!!! Wakati ule kashambuliwa wee, na baadaee ndo akaja katulia tuli mzee wa watu!!! Kauchaguzi kadogo tu ka Igunga, kanamtoa roho; ni kama anataka tena kutukanwa na keshaanza kuonja joto ya jiwe!!! madiongo madogo ya hapa na pale ayapatayo sasa ni mchele huo; asome maandishi ukutani na aachane na Igunga, lakini kwa p[unje za mahindi zilizopo kwenye tenga (kiti cha igunga) anataka kupuuza yote!!!
 

reandle

JF-Expert Member
May 6, 2009
11,175
8,113
Mimi naona tukupe mji ili utupe jibu.
Na mji ni Bagamoyo au igunga,chagua moja

Wacha nimchagulie mji; Five Star Modern Taarab; naamini wapenzi wa bendi hiyo watasahau kidogo jinamizi la ajali lililowaondoa wanamuziki wa ku ndi hilo
 

Massenberg

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
1,173
1,370
Huyo lazima atakuwa kuku wa kibulushi aliyekuwa ndani ya tenga lililotengenezwa kwa kutumia magamba.
 

Nyota Ndogo

Senior Member
Aug 7, 2011
150
33
Kwakuwa

Kweli hamjaelewa au mnamuhifadhi??!! c brother ben huyu aliyeelekea Igunga??!!! Wakati ule kashambuliwa wee, na baadaee ndo akaja katulia tuli mzee wa watu!!! Kauchaguzi kadogo tu ka Igunga, kanamtoa roho; ni kama anataka tena kutukanwa na keshaanza kuonja joto ya jiwe!!! madiongo madogo ya hapa na pale ayapatayo sasa ni mchele huo; asome maandishi ukutani na aachane na Igunga, lakini kwa p[unje za mahindi zilizopo kwenye tenga (kiti cha igunga) anataka kupuuza yote!!!

unafaa kuwa mnajimu wa nyota na ndoto
 

reandle

JF-Expert Member
May 6, 2009
11,175
8,113
japo umekosea nyota nangu, kwenye 'CCM' geuza 'C' ya katikati halafu chora kipenyo.

Ndo maana Watanzania tumekuwa washikaji damu damu wa umaskini kwakuwa hamtaki kusikiliza ushauri wa wataalamu na badala yake mnataka kutuletea usomi wenu wa kukaririshwa kutoka kwa ma-lecturer waliokariri walichokaririshwa!!! Nishakuambia nyota yako NGE wewe unasema nimekosea---- kwani we ulikuwa na akili na kuona siku uliyozaliwa?!
 

Nguruvi3

Platinum Member
Jun 21, 2010
14,818
29,264
Nahisi kuna 'mzigo' wa mahindi utateremshwa! nipo kona nakula pop corn nikimwangalia kuku akidonyoa punje chache alizotupiwa.
 

SAGAI GALGANO

JF-Expert Member
Nov 13, 2009
38,685
45,970
Kakukuruka vyema,

Kaachiwa na kuonyeshwa tundu la kutokea, badala yake kajidanganya kwa kutamani mbegu chache zilizobakia kwenye tenga. Anarudi, anarushiwa mchele wa kutosha nje ya tenga hataki kutoka kisa mahindi kiduchu. Kwa kiburi kabisa anajaribu kuwadonoa hata wale ambao wangemsaidia, anawatishia... anang'ang'ania kukaa kwenye tenga!

Kwakuwa ni 'kuku wa kizungu' tumwache tusifunike tenga na 'kumshughulikia'?


Huyu ni RA, alipigiwa kelele za kujivua gamba akajivuta vuta hatimaye kwa shingo upande akavua gamba na kueleza kuwa anaondoka kwa sababu CCM sasa ina siasa uchwara, mara umekuja uchaguzi mdogo huyoooo karudia siasa uchwara tena.
 

Ngoiva Lewanga

Senior Member
Aug 19, 2011
160
19
HAPA NI MVUTANO WA KISIASA KATI YA MADIWANI(5) ARUSHA, CHADEMA NA CCM.

CCM >MADIWANI> CHADEMA.
Invisible toa jibu.
 

kipuyo

JF-Expert Member
Jul 30, 2009
1,776
1,434
Alirushiwa sana makombora ili asiende kufanya uzinduzi wa kampeni za chama chake Igunga ....lakini wapi akajifanya hasikii,wakati huo huo anapenda kuwachana wapinzani ambao ndo wana nafasi kubwa ya kumuokoa kila apatapo nafasi ya kuhutubia kwenye mikutano ya ccm.Huyu bila shaka ni Benyamin William Mkapa
 

Iza

JF-Expert Member
Jan 8, 2009
2,001
589
Kama ni huyu aliyeko Igunga,hivi si alisema eti amepumzika siasa? au ndo alimaanisha hajaacha siasa? haka kauchaguzi ka mbunge ni kadogo kwa kiwango chake..
 

Misterdennis

JF-Expert Member
Jun 4, 2007
1,742
480
thirsty.jpg


Hey Mkuu, is it really you, au yuko mtu ameamua kutumia jina na signature yako?

Wherever you have been, it is great to have you back!
 

King kingo

JF-Expert Member
Sep 6, 2010
401
25

Mkuu enzi hizo Boarding Jeshi! Tambaza nadhani baadae waliifunga ndio wakati huo wasema wewe, walitawanya wanafunzi wake nchni nzima! maana watoto wa Tambaza kwa kweli ilikuwa bangi na kitabu basi, ila walikuwa very strong. Baadhi yao ndio walikuja kuunda kundi la Black Mamba wakati wa uchaguzi wa 1995, Kikundi maarufu sana cha ukombozi unaweza kufananisha kidogo leo na JF na Makamanda. Ila Black mamba kilifika mbali kidogo ki malemgo.

Hahaha Mkuu hapo kwenye RED tuombe radhi kidogo
 

Similar Discussions

10 Reactions
Reply
Top Bottom