Unauza sh ngapi kwa trei??Me namakuchi hapa kwangu nauza mayai njooni
Nipigie kama uko DsmWa kienyeji pure ntawapata wapi mkuu??
Me namakuchi hapa kwangu nauza mayai njooni
Tafadhari nitumie namba ya simu!!Me namakuchi hapa kwangu nauza mayai njooni
Mkuu mi nipo mbeya nahitaji kuanza kufuga kuku wa mayai, naomba kama una utaalamu au kuna sehemu naweza kupata elimu kabla sijaanza unielekeze nifike nikajifunze kitu, nitashukuru sanaNaombeni namba za nzowa nipate kujua kwa mbeya nawapata wapi pia nisaidieni bei ya kifaranga ni ngapi?
pole sana hawa watu waliwahi kunifanyia hivyo, nilinunua kuku 100 nikawambia waniwekee majogoo kumi tu, walikuwa na umri mwezi mmoja, yaani nusu yote waliweka majogooMie sitaki kabisa kuwasikia hao Sasso. Nilinunua vifaranga 200 kutoka kwa Nzowa Enterprises pale Kibaoni-Tegeta. Jamaa walinichanganyia umri tofauti tofauti kinyume na makubaliano. Kilichofuatia ikawa vigumu kujua yupi amepata chanjo ipi; na ipi au yupi hajapata. Waliopoanza kuugua, nilirudi Nzowa kuwaeleza tatizo la vifaranga walivyoniuzia lakini hawakunipa ushirikiano wala msaada wowote. Vifaranga walipukutika mpaka nikachanganyikiwa. Waliofikia umri wa mauzo ni 83 tu!
NipmMkuu mi nipo mbeya nahitaji kuanza kufuga kuku wa mayai, naomba kama una utaalamu au kuna sehemu naweza kupata elimu kabla sijaanza unielekeze nifike nikajifunze kitu, nitashukuru sana
Kuku wazuri in kuroila WA India 1 hawaugui hovyo
2 wanataga kwa mda mrefu
Mkuu chakula cha silverlands ni mkasi sana huku mwanza ni 80,000 kipakage cha kilo hamsini. Na nitawapa chakula hiki mpaka wafikie muda gani au mpaka wakati wa mauzo?Fuata kanuni zote za ufugaji bora utawapenda hawa kuku usisahau wape chakula cha silver land
Mkuu umewahi kufuga Kuroiler pia? Wakoje? Kwa Tanzania wanapatikana wapi?niliwalisha stater mwezi mmoja sasa nawalisha grower mwezi na mwezi wa tatu nawalisha finisher ...
kuku wako vizuri sana napingana na hao wanaosema hawafai tena nawafungulia nje kwa sasa na ninawapa chakula mara tatu kwa siku
kuku unatakiwa ujali usafi na uwe karibu nao
kwangu nafuga aina tatu za kuku
1.malawi
2.kienyeji pure croos na israel
3.sasso
katika wote nimewakubali sana sasso na hao israel malawi nimewachukia kwasababu wanakufa kwa kunya chokaa na wanakula kupitiliza japo bado ninao
Nini maana ya CP ni wasambazaji wake ni akina nani?Chakula pekee quality kwa kuku hapa tz ni CP.
Ndugu yangu hawa Kuroiler kwa Tanzania nawapata wapi? Mi niko mwanzaKuku wazuri in kuroila WA India 1 hawaugui hovyo
2 wanataga kwa mda mrefu
Napendaga kujua namm pia.Mkuu umewahi kufuga Kuroiler pia? Wakoje? Kwa Tanzania wanapatikana wapi?