Kuku aina ya SASSO wakiwa na siku 52

Hawa Sasso nahisi huwezi kuwatenganisha na ugonjwa wa mafua. Tena huwa wanayapata wakiwa na umri wa miezi minne na kuendelea. Ni kuku wa kijinga sana. Hata bure siwataki.
 
Pure kienyeji agizia dodoma au singida
Mkuu Singida pia kuwa makini unaweza kuagiza huku ukaambulia hasara kabisa wenyeji wa huku Mara nyingi huuza kuku akiwa na tatizo labda upate kwa mkulima unaye mwamini na sivinginevyo usije ukaenda kununua kuku wakufuga sokoni. Tuwa makini wakulima wenzangu, kuna hasara zinazoweza kuepukika .
 
Sasso wanaozalishwa na Silverland ndo hao wanaosambazwa na Nzowa Enterprises!
Sawa mkuu Mimi niliwachukua 100 wa umri wa siku moja kuna baadhi ya changamoto nami nimezi pata kama wakulima wenzangu walivyo eleza hapa.

Pia nilikuwa na mpango wa kuchukua wale kuku wa silver land wa mayai kuna MTU amewajaribu ?
 
hao nimenunua hapo hapo mkuu na hao walikuwa 200 waliokufa hadi sasa ni 10 hadi sasa wanaendelea vyema kama unavyoona .
hao jamaa wana branch pale ubungo na nilinunua wa malawi 250 ambao wana miezi minne sasa walinichanganyia walivyofika wakaanza kuza hovyo vifaranga 30 ndani ya week sikukubali niliwarudia kwa ukali wakamtuma daktari wao akaja kucheck mazingira nayofugia ila hakukuta kasoro ilibidi wanifidie vifaranga waliokufa......
"Kwa Ukali".

Nimependa hapo, bila hvyo watu watakuchezea sana!
 
Kwa maelezo yenu Kuku wa Kienyeji ni bora Zaidi kufuga na pia ni bora kwa afya zetu. Ebu turudi tulipotoka tuachane na technology sizizoeleweka.
Mi niliacha kula kabisa wala kutumia mayai ya kuku wa kisasa baada ya kuona jirani yangu anawatunza week 6 wanaenda kuuzwa then nilipocheck kuku wa kienyeji week sita yupoje ndipo nilipofanya hesabu zangu mwenyewe na kujua kula hawa kuku ni kujiletea madhara mwilini mwetu. Ila sijaelewa kwanini hatuwekwi wazi.
 
niliwalisha stater mwezi mmoja sasa nawalisha grower mwezi na mwezi wa tatu nawalisha finisher ...
kuku wako vizuri sana napingana na hao wanaosema hawafai tena nawafungulia nje kwa sasa na ninawapa chakula mara tatu kwa siku
kuku unatakiwa ujali usafi na uwe karibu nao

kwangu nafuga aina tatu za kuku
1.malawi
2.kienyeji pure croos na israel
3.sasso

katika wote nimewakubali sana sasso na hao israel malawi nimewachukia kwasababu wanakufa kwa kunya chokaa na wanakula kupitiliza japo bado ninao
 
ATTACH]
 

Attachments

  • 1477749498365.jpg
    1477749498365.jpg
    84.8 KB · Views: 105
niliwalisha stater mwezi mmoja sasa nawalisha grower mwezi na mwezi wa tatu nawalisha finisher ...
kuku wako vizuri sana napingana na hao wanaosema hawafai tena nawafungulia nje kwa sasa na ninawapa chakula mara tatu kwa siku
kuku unatakiwa ujali usafi na uwe karibu nao

kwangu nafuga aina tatu za kuku
1.malawi
2.kienyeji pure croos na israel
3.sasso

katika wote nimewakubali sana sasso na hao israel malawi nimewachukia kwasababu wanakufa kwa kunya chokaa na wanakula kupitiliza japo bado ninao
afadhali wewe umenipa moyo kidogo,nilivyosoma comments za watu kuhusu sasso nikawa nachanganyikiwa!

Nilinunua iringa kama 100 mpaka sasa wanaendelea vizuri kabisa
 
unajua watu wanapenda kukurupuka kulea vifaranga kuna htaj tahadhali ya hali ya juu,andaa mazingira kwanza kabla ya kuanza fanya survey uone wenzio wanafanyaje jipe mda wa kujifunza den ndo uanze ukiandaa mazingira vzur utafurah na ukikurupuka utachukia kila breed tujipe muda wa kujifunza wajameni
 
unajua watu wanapenda kukurupuka kulea vifaranga kuna htaj tahadhali ya hali ya juu,andaa mazingira kwanza kabla ya kuanza fanya survey uone wenzio wanafanyaje jipe mda wa kujifunza den ndo uanze ukiandaa mazingira vzur utafurah na ukikurupuka utachukia kila breed tujipe muda wa kujifunza wajameni
Kweli kabisa, kulea vifaranga wa siku 1 kunahitaji utaalamu sana. Mbeya huwa tunanunua wa mwezi 1.hao hata asiye na utaalamu mkubwa anaweza watunza,
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom