Kukosekna kwa Mwandishi bora katika uandishi wa mitandao(online journalism) ni Pengo kwa MCT

qq.com

JF-Expert Member
Jan 9, 2012
367
123
Wanabod
Kwanza naomba sana Mod msiunganishe hii thred na nyingine inajitegemea.

Kwakweli nimetazama namna utoaji tuzo kwa waandishi nchini tz ulivyoendeshwa jana usiku,lakini nimeshangaa kuona wanasahau mchango wa uandishi katika mitandao ya kijamii.

mfano JF ni mtandao pekee wa kijamii nchini tanzania ulioweza kuripoti LIVE tukio hilo kupitia thread hii ya mdau Byabato(sijui aliwezeshwa na JF,alifanya mwenyewe au ilikuwaje) lakini inatosha kusema kuwa JF ilitoa taarifa za papo kwa papo kuhusu lile tukio.

Aidha mitandao iliyofuatia kama blogs mbalimbali na FB zimetoa taarifa hizo leo jumamosi wakifuatiwa na baadhi ya redio nchini.

AJABU ni kuwa TV za tanzania zitaanza kurusha tukio hilo kuanzia leo mchana na usiku wakati magazeti yatatanagza kesho jumapili.

ukitazama mlolongo huu,utakubalina nami kwamba mitandao ya kijamii nchini(online journalism) ni njia ya kisasa kabisa na ya haraka katika kuhabarisha jamii.hivyo ni lazima waandaaji wa tuzo kama hizi kutuelekeza huko badala ya kugangania waandishi wa magazeti ambao wanatupatia habari tulizokwisha jua tena kwa live.(mfano kesho umapili,gazeti la mwananchi watachapisha katika uk wa 1 juu ya mwandishi wao Nevile meena kuibuka mshindi wa jumla,hivi nani atanunua hgazeti kwa kutaka kujua hilo).

MCT,wadau wa sekta hii na waandishi wa habari wenyewe muda umefika kutambua kuwa uandishi wa kwenye mtandao kwa sasa ndiyo kimbilio.ikiwezekana kwenye tuzo za 2012 (tazama aljazeera.CBS News,Fox nk wao kwa sasa wana-broadcast live kupitia internet na watazamaji kibao.)


Nawasilisha

QQ.COM
 
Wanabod
Kwanza naomba sana Mod msiunganishe hii thred na nyingine inajitegemea.

Kwakweli nimetazama namna utoaji tuzo kwa waandishi nchini tz ulivyoendeshwa jana usiku,lakini nimeshangaa kuona wanasahau mchango wa uandishi katika mitandao ya kijamii.

mfano JF ni mtandao pekee wa kijamii nchini tanzania ulioweza kuripoti LIVE tukio hilo kupitia thread hii ya mdau Byabato(sijui aliwezeshwa na JF,alifanya mwenyewe au ilikuwaje) lakini inatosha kusema kuwa JF ilitoa taarifa za papo kwa papo kuhusu lile tukio.

Aidha mitandao iliyofuatia kama blogs mbalimbali na FB zimetoa taarifa hizo leo jumamosi wakifuatiwa na baadhi ya redio nchini.

AJABU ni kuwa TV za tanzania zitaanza kurusha tukio hilo kuanzia leo mchana na usiku wakati magazeti yatatanagza kesho jumapili.

ukitazama mlolongo huu,utakubalina nami kwamba mitandao ya kijamii nchini(online journalism) ni njia ya kisasa kabisa na ya haraka katika kuhabarisha jamii.hivyo ni lazima waandaaji wa tuzo kama hizi kutuelekeza huko badala ya kugangania waandishi wa magazeti ambao wanatupatia habari tulizokwisha jua tena kwa live.(mfano kesho umapili,gazeti la mwananchi watachapisha katika uk wa 1 juu ya mwandishi wao Nevile meena kuibuka mshindi wa jumla,hivi nani atanunua hgazeti kwa kutaka kujua hilo).

MCT,wadau wa sekta hii na waandishi wa habari wenyewe muda umefika kutambua kuwa uandishi wa kwenye mtandao kwa sasa ndiyo kimbilio.ikiwezekana kwenye tuzo za 2012 (tazama aljazeera.CBS News,Fox nk wao kwa sasa wana-broadcast live kupitia internet na watazamaji kibao.)


Nawasilisha

QQ.COM


kwa hapa JF ingepata tuzo hii bila chenga
wao MCT sijui kama wanalijua hili
 
nimeptia BLOG ya michuzi muda mfupi ambayo hujinadi kuwa inaongoza kwa klupost matukio ya kibongo lakini hakuna lolote kuhusu tukio la jana
 
Back
Top Bottom