Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Kama ilivyowahi kusemwa huko nyuma "once a fisadi, alwayz.....". Nadhani wengi wetu mmesikia kilichotokea kuhusu helikopta za kampeni ya CCM. Ntawashangaa wale wanaoshangaa kwamba kukwama kwa helikopta hizo ni bahati mbaya. Hebu tukumbushane kidogo ni Tanzania hiyo hiyo gari ya raisi imewahi kuishiwa mafuta, ni hiyo hiyo gari ya mkulu imewahi kupata pancha, kuna zile cheki ya JK na pia ile ya mkewe zilizokosewa maneno kulinganisha na tarakimu. Ok simple huo ni upande wa serikali. Kwa ufahamu wangu uwajibikaji upande wa chama ndiyo legelege kabisa hili hata wanaCCM na viongozi wao wanalikubali.
Sasa mnashangaa nini mnapoambiwa hizo chopa mlizoambiwa zitatumika zaidi ya mwezi sasa kwamba vibali vilikuwa havijaandaliwa siku nne kabla ya kufunga kampeni???
Ukiingia kiundani huu ni uzembe tunaoushuhudia katika kila sekta ndani ya bongo, na CCM ndiyo haswaa muasisi wa utamaduni huu wa uzembe uzembe, kukosekana uwajibikaji, ujanja ujanja and now this is the best they can get. CHADEMA wao vibali vyao waliprocessia wapi?
2.
Chopa za JK mwaka jana
3.
Cheki aliyopewa mama Salma
Sasa mnashangaa nini mnapoambiwa hizo chopa mlizoambiwa zitatumika zaidi ya mwezi sasa kwamba vibali vilikuwa havijaandaliwa siku nne kabla ya kufunga kampeni???
Ukiingia kiundani huu ni uzembe tunaoushuhudia katika kila sekta ndani ya bongo, na CCM ndiyo haswaa muasisi wa utamaduni huu wa uzembe uzembe, kukosekana uwajibikaji, ujanja ujanja and now this is the best they can get. CHADEMA wao vibali vyao waliprocessia wapi?
2.
Chopa za JK mwaka jana
3.
Cheki aliyopewa mama Salma