Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Ndugu wanaJF:
Uchaguzi wa mwaka kuna mapungufu makubwa kwa upande wa CCM -- kukosekana kwa mpiga debe wao mkubwa aliyekuwa BBC London Tido Mhando ambaye katika chaguzi za huko nyuma alikuwa akijishghulisha sana kufanya midahalo na kuendesha kura za maoni ili kuonyesha chama chake kinapeta -- au niseme sahihi -- kutoa njia kwa chama chake kishinde tu kwa vyovyote vile.
Mwaka huu yuko kwenye vyombo vya habari vya umma wa Tanzania, hivyo inamwia vigumu sana kufanya hivyo bila kuonekana kupendelea.