jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
- Thread starter
- #21
Wabunge wangapi wamekatwa na wangapi wamebaki?Haupo sensible,
Unajua kabisa wabunge wamekatwa na tume halafu unaongea hivi.
Hii nchi haiwezi kusonga mbele ikiwa wananchi wataendelea kuwa wafia matumbo yao kiasi hiki.
kati ya waliobaki wepi ni ingizo jipya lenye tija?