nosspass
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 5,777
- 4,725
Wana JF,
Natumai vyema mko...
Kuna uzi nilirusha kama wiki 2 zilizopita, sasa huu ni muondelezo, na ndo maana nimeuita phase 2...
Hapa ndo nimetoka maeneo ya mikocheni,,, jamaa mkewe alimvizia jana akiwa mtungi akampiga na chupa kwenye utosi, he lost damu nyingi, na fahamu zimemrudia muda si mrefu, mkewe alipoona soo alipiga mayowe, majirani walipofika, yeye akapotea kakimbilia kwa mamake mdg, anakujua mwenyewe, so majirani ndo wakampeleka hsptl.
Alipozinduka hakujua yuko wapi, baada ya nurse kumweleza alivyofika, ndo akaanza kupata kumbukumbu,, akamuomba nurse simu yake, then he call me,ameikariri my no.. he call me.....nilipopokea kwanza sikuitambua, then i noticed smbody crying,,,hakuongea tena nurse akachukua simu na kujitambulisha, na kunidokeza lililojiri. Faster nikarush hsptl, kweli jamaa kaumia, tena sana, ila wauguzi walinipa moyo,,, hakuna zaidi ya jeraha na damu kdg imepotea...c wajua alikuwa tungi jana.
Kaniomba jambo moja tu, kwanza nifungue file police, i already done,, pili the way they can divorce....hapo nimepata shida kdg wa JF........kaendelea kwa kusema hataki ugomvi na mkewe ambaye ndo anataka kutengana nae, wana 2 kids....na anasema mali zote alizonazo by now ni za watoto,,, japo kwa maelezo yake mkewe hakuchangia hata senti tano,,, na amekuwa akimfanya yeye ni ATM wake, kinga ikiwa ni watoto.
Ameomba tena sana nianzie hapo.. mengine yatafuata...
Wana JF,,, naombeni msaada,, jamaa amekataa kabisa msamaha, 'KATU KATU'..
Hii divorce naanzia wapi,,,..
Ushauri na msaada muhimu sana hapa...
kweli wake zetu watatuua bila kudhania...
nawakilisha....
Natumai vyema mko...
Kuna uzi nilirusha kama wiki 2 zilizopita, sasa huu ni muondelezo, na ndo maana nimeuita phase 2...
Hapa ndo nimetoka maeneo ya mikocheni,,, jamaa mkewe alimvizia jana akiwa mtungi akampiga na chupa kwenye utosi, he lost damu nyingi, na fahamu zimemrudia muda si mrefu, mkewe alipoona soo alipiga mayowe, majirani walipofika, yeye akapotea kakimbilia kwa mamake mdg, anakujua mwenyewe, so majirani ndo wakampeleka hsptl.
Alipozinduka hakujua yuko wapi, baada ya nurse kumweleza alivyofika, ndo akaanza kupata kumbukumbu,, akamuomba nurse simu yake, then he call me,ameikariri my no.. he call me.....nilipopokea kwanza sikuitambua, then i noticed smbody crying,,,hakuongea tena nurse akachukua simu na kujitambulisha, na kunidokeza lililojiri. Faster nikarush hsptl, kweli jamaa kaumia, tena sana, ila wauguzi walinipa moyo,,, hakuna zaidi ya jeraha na damu kdg imepotea...c wajua alikuwa tungi jana.
Kaniomba jambo moja tu, kwanza nifungue file police, i already done,, pili the way they can divorce....hapo nimepata shida kdg wa JF........kaendelea kwa kusema hataki ugomvi na mkewe ambaye ndo anataka kutengana nae, wana 2 kids....na anasema mali zote alizonazo by now ni za watoto,,, japo kwa maelezo yake mkewe hakuchangia hata senti tano,,, na amekuwa akimfanya yeye ni ATM wake, kinga ikiwa ni watoto.
Ameomba tena sana nianzie hapo.. mengine yatafuata...
Wana JF,,, naombeni msaada,, jamaa amekataa kabisa msamaha, 'KATU KATU'..
Hii divorce naanzia wapi,,,..
Ushauri na msaada muhimu sana hapa...
kweli wake zetu watatuua bila kudhania...
nawakilisha....