Kategele
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 968
- 2,230
Katika kipindi cha kukosa kazi (Jobless time) huwa ni wakati mzuri sana wa kufiria mawazo ya kukunasua kiuchumi hivyo vijana tutumieni kipindi hiki kugenerate ideas za kujiajiri.
Usitafute kazi, tafuta matatizo ili uyatatue huwezi kula pesa ya mtu bila kumtatulia tatizo.
Angalia jamii inayokuzungua ina tatizo gani then geuza hilo tatizo kuwa fursa hakika utatoboa.
Usitafute kazi, tafuta matatizo ili uyatatue huwezi kula pesa ya mtu bila kumtatulia tatizo.
Angalia jamii inayokuzungua ina tatizo gani then geuza hilo tatizo kuwa fursa hakika utatoboa.