Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,715
Jau jau FCHatari sana,hapo mishono ya watu wengi imetoneshwa ππππ
Mwanaume ukiwa hauna hela hapa duniani ni mateso makali sana.
Jau jau FCHatari sana,hapo mishono ya watu wengi imetoneshwa ππππ
Mwanaume ukiwa hauna hela hapa duniani ni mateso makali sana.
Hahahahah yani mwanamke ukose kazi ukose na mwanaume kabisa? Sidhani inawezekana hivyo dahπ unless uwe too demanding kiasi kwamba uwe kero ndio utaachwa!Hata sisi tunawapoteza wanaume wa ndoto zetu kisa hatuna kazi au mnadhani nyie tu
Hatari sanaJau jau FC
Anakuchabo unavyotesekaHatari sana
saiv hua ananichungulia status tu.
Kwa hali ya sasa kuna uwezekano wahuni wakafika 40 wakiwa hali teteπMaisha ya kibongobongo mwanaume kuwa stable financially ni kuanzia 35yrs,Shukuru kila jambo Mungu anakuandalia sehemu nzuri utakayofurahi kwenye maisha yako.
Ila naamini kasharudisha majeshi now anatubu tu!Hatari sana hii,hata mimi ilinikuta hii. Mwanamke akabebwa ππππππ.Aliniambia naenda kuolewa, wewe utanipausha tu,daah iliniumaga yaaani, njaa kali mtaani,unachekwana kila mtu, mwanamke wako uliempenda nae anakuacha.
Unabaki mwenyewe unapambana na hali yako.
Mwanaume hapa duniani kama huna pesa ni mateso makali sana.
Hatari sana
Ninamnyoosha cku hizi,siteseki tena πAnakuchabo unavyoteseka
Na ukifa tena kuna moto daah.Kwa hali ya sasa kuna uwezekano wahuni wakafika 40 wakiwa hali tete
unakosa kwanini usikose?Hahahahah yani mwanamke ukose kazi ukose na mwanaume kabisa? Sidhani inawezekana hivyo dah unless uwe too demanding kiasi kwamba uwe kero ndio utaachwa!
Bora akwambie nilikupenda kwa sababu ya upole wako au ongea yako lakini feza ambazo zikiondoka naye anaondoka unabaki na maumivu
Hapana aisee
Hahaha.!! Asante mkuu Extrovert, ndo hivyo tena humu kweli Jf wadau wanagusa hisia za watu sana, unajikuta unakumbuka vitu vingi na kweli imenifundisha kujua kwenye mahusiano mnaweka malengo mengi wakat mnaanza kumbe hamjui kesho yenu muamzi yupo juu. Aice kukosa kazi kweli na mchongo wa pesa unajikuta uliyempenda kwa dhati anageuka kuwa shemeji.Haka kanyimbo kametonesha mshono π₯² pole sana mwamba
Haka kanyimbo kametonesha mshono π₯² pole sana mwamba
Bado hajaupata utajir alioukimbilia
Kidume umejitutumua interview hadi oral 3 na zote amna
unavunjika moyo tulizo lipo kwa Babe anakupa makavu dry bila huruma kitaa hali ngumu unashindia Buku siku nzima
Nikajua rafiki wa kweli ni Mama ikabidi nirudi home nikajipange upya
Now ana 29 , simfatilii ila navosikia hali tete
Mara nyingi huwa hivyo hasa ukiachwa sababu ya uchumiHio ni kweli, hua wanakosa uvumilivu kipindi cha ukame hicho. Aliamua kuolewa,ila sasa anajuta sana,yaani nimekuja kumzidi huyo jamaa wake kiuchumi, Anabaki kuumia tu.