Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Hii naamini inawakumba wanandoa wengi,kukoroma. Yaani unakuta mwanaume anakoroma korrooo korrroo yaani mpaka basi.Wenye mauzoefu na kadhia hii hebu twambieni huwa mnai handle vipi kadhia hii? wengine nasikia huama hata vyumba.Jamani hivi kukoroma kuna tiba? maaana..........