kuna sababu 3 za haraka haraka
1 kulala vibaya, kwa maana ya kuzuia hewa kupita smoothly kwenye koo. mito (pillows) zinaweza kusababisha hii kama haziko laini kiasi cha kuruhusu shingo ikae mkao ulio comofrtable.
2 kuwa na nyama ambazo zinazuia koromeo kuwa wazi kiasi cha kutosha (mfano goita, mafindofindo/tonsills) ama nyama ambazo zinakuwa kwenye pua
3 uzito mkubwa wa mwili, ambapo moyo unakuwa na kazi ya ziada ku-support system nzima (sijafuatilia physiology yake hii)
kama kunakuwa na mkoromo wa kukera, nadhani ni vizuri kuonana na daktari kujihakikishia kuwa hakuna tatizo la kiafya
Nakushukuru ndg yangu, kumbe unaweza kumuona daktari! Nitawashauri wahusika, ahsante sana