Kukopeshana na kudaiana kwenye mapenzi au urafiki

Wanaume huwa tunatoa tu regadless atatumia lugha ya kukopa au vinginevyo.....na kama ujuavyo ukitoa umetoa FORGET na usitegemee kupata return yoyote.
SWALA LA KUDAIANA KWENYE MAPENZI NI KOSA KUBWA SANA. IVI MPENZI WAKO AKIAMUA KUKUDAI AU KUANDIKIA BILL YA YOOOOOOTE ALIYOKUPA UTAWEZA KULIPA????? FIKIRI SANA.

Agreed.

 
Last edited by a moderator:
Wadau mnanikumbusha kisa cha rafiki yangu kumkopesha Boyfriend wake 2008,na hajamlipa mpaka leo 2011.Bahati mbaya 2010 waliachana.Shosti wangu kapigania pesa zake mpaka amemshukuru Mungu Amezisamehe namwonea huruma sana.
Binafsi nimejifunza kutoka kwake sikopeshi mtu anayeitwa boyfriend au girlfriend ni hatari.
 
1. Unamkopesha mpenzi wako kwa ajili ya biashara. Hebu muulize vizuri, unamkopesha yeye au unakopesha biashara? Biashara na mmiliki ni vitu tofauti hapo.
2. Kuhusu marafiki kukopa kweli inasumbua sana kuanza kumdai mtu. Hasa nyie wanaume mkikopeshwa na wanawake ndio mnasumbua sana kulipa. Mi nafikiri ikitokea rafiki yako hataki kukulipa na umemsumbua sana we mwache. Usivunje urafiki ila hiyo ndio itakuwa mwisho wa kumkopesha . Kuna rafiki yangu sahv hata awe na shida hawezi nikopa maana nilishamwambia iwe mwisho kwasababu ya ugumu wake wa kulipa madeni.
 
Wadau mnanikumbusha kisa cha rafiki yangu kumkopesha Boyfriend wake 2008,na hajamlipa mpaka leo 2011.Bahati mbaya 2010 waliachana.Shosti wangu kapigania pesa zake mpaka amemshukuru Mungu Amezisamehe namwonea huruma sana.
Binafsi nimejifunza kutoka kwake sikopeshi mtu anayeitwa boyfriend au girlfriend ni hatari.
Mkuu kweli sometimes ukiwa heri kuwa na msimamo kama huo tu,mana unaweza ukatapeliwa vibaya
 
1. Unamkopesha mpenzi wako kwa ajili ya biashara. Hebu muulize vizuri, unamkopesha yeye au unakopesha biashara? Biashara na mmiliki ni vitu tofauti hapo.
2. Kuhusu marafiki kukopa kweli inasumbua sana kuanza kumdai mtu. Hasa nyie wanaume mkikopeshwa na wanawake ndio mnasumbua sana kulipa. Mi nafikiri ikitokea rafiki yako hataki kukulipa na umemsumbua sana we mwache. Usivunje urafiki ila hiyo ndio itakuwa mwisho wa kumkopesha . Kuna rafiki yangu sahv hata awe na shida hawezi nikopa maana nilishamwambia iwe mwisho kwasababu ya ugumu wake wa kulipa madeni.
Hunsninyo 1. nadhani hapo unamkopesha mpenz mana yeye ndo atakayelipa.2.watu kama hao lazima akiona unamdai wavunje urafiki wenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom