Kukiri kungonoka

Edmund

Senior Member
Jul 17, 2009
123
62
Ndugu WanaJF nina nipo kwenye uhusiano na Mpenzi wangu kwa muda wa miaka 2 sasa, nampenda naye ananipenda lakini kwenye mwezi wa nane (8) mwaka nikasex na mtu mwingine mara moja TU. kumbe katika kipindi chote hicho huyo mpenzi wangu alikuwa akichunguza mienendo na mawasiliano kati yangu na huyo mdada . Jana kaja anadai eti kuna mdada anaamini kabisa ya kwamba nimetembea naye na jina lake akalitaja kwani lilikuwa kwenye simu akiniomba nikubali kosa kisha niombe msamaha kwake ili tuanze UPYA vilevile tuendelee na mipango yetu ya NDOA hapo mwezi wa saba(7) mwakani

Ndugu zangu, Je ni HAKI kwangu kukiri kosa na kuomba msamaha vilevile haitosababisha mapenzi yetu kufa.
 
Mjomba usiombe uone cha moto, wanawake tunajua kutunza siri sana na kwa staili hiyo ya kijifanya kidume cha beberu eti hutaki kukiri kosa unaweza juta kumjua huyo dada kwani mnaweza kufunga ndoa akakufanyia mambo ya ajabu katka harakati za kulipiza kisasi, bora ukiri na yaishe kwani kama mtu alihifandi tukio kubwa kwa muda wote huo, mmm avatar yeke sijui ataichezaje.
 
kumbe we ni mdada sasa naomba nikuite Wakuchakachuliwa badala ya hivyo unvyojiita Wakuchakachua, nahitaji mawazo ili niweke na ya kwangu kabla sijatoa maamuzi.
 
kiri kosa omba msamaha
atakusamehe kwa sababbu ashakwambia kiri ntakusamehe basi usiifanye ngumu shingo yako ...ukiwa mkaidi ikivunjika haitafaa tena
usirudie tena afta msamaha sawa?
KWANINI ULIENDA KUCHOVYA NJE?pls i wan knw pia mwelezee na yeye y ulitoka nje ili km kuna mapungufu bas muyasafishe kbsa b4 ndoa
KINYUME NA APO SUBIRI REVENGE EVEN AFTA 10 YRS WEWE UMESAHAU YEYE NDO ATAKULIPIZIA.
fanza km alivyokwambia.
 
wewe kweli unataka kuoa na uko kwenye hiyo situation
mmmmmhhhhhhhh mimi naona kama bado unampenda huyo mpenzi wako wa sasa
unatakiwa umwonyeshe kweli unampenda na huta fanya tena kitu kama hicho

mpeleke holiday mahali halafu mwombe msamaha na itakuwa vizuri
kama uki propose tena
na unatakiwa umuhakikishie haita tokea tena
kwani inaonekana bado anakupenda hapo aliposema "niombe msamaha ili tuanze UPYA"

TRUTH WILL SET YOU FREE.
 
Ilivyokuwa rahisi kwako kungonoka nje, pia iwe rahisi vile vile kuomba msamaha
 
Ndugu WanaJF nina nipo kwenye uhusiano na Mpenzi wangu kwa muda wa miaka 2 sasa, nampenda naye ananipenda lakini kwenye mwezi wa nane (8) mwaka nikasex na mtu mwingine mara moja TU. kumbe katika kipindi chote hicho huyo mpenzi wangu alikuwa akichunguza mienendo na mawasiliano kati yangu na huyo mdada . Jana kaja anadai eti kuna mdada anaamini kabisa ya kwamba nimetembea naye na jina lake akalitaja kwani lilikuwa kwenye simu akiniomba nikubali kosa kisha niombe msamaha kwake ili tuanze UPYA vilevile tuendelee na mipango yetu ya NDOA hapo mwezi wa saba(7) mwakani

Ndugu zangu, Je ni HAKI kwangu kukiri kosa na kuomba msamaha vilevile haitosababisha mapenzi yetu kufa.

Deny deny deny deny! Kama hujakamatwa kwenye eneo la tukio, tafuta kisingizio cha kuonekana au kuwasiliana na huyo demu, singizia ulikuwa unafuatilia kazi au biashara or any other credible excuse.

Hata ukiomba msamaha, si kwamba atakusamehe. Atajifanya tu amekusamehe,na labda ata-ignore tu kwa muda. One thing you should know, is that women never forget such issues. Atakuja kukumbushia siku moja na inaweza ikawa chanzo cha ugomvi hata miaka kumi baadaye. Unachotakiwa kufanya ni kukataa, kataa, kataa, kataa, kwamba ulilamba huyo demu mwingine. Ila usirudie tena kucharge huko na huko kama charger ya kobe.
 
Ndugu WanaJF nina nipo kwenye uhusiano na Mpenzi wangu kwa muda wa miaka 2 sasa, nampenda naye ananipenda lakini kwenye mwezi wa nane (8) mwaka nikasex na mtu mwingine mara moja TU. kumbe katika kipindi chote hicho huyo mpenzi wangu alikuwa akichunguza mienendo na mawasiliano kati yangu na huyo mdada . Jana kaja anadai eti kuna mdada anaamini kabisa ya kwamba nimetembea naye na jina lake akalitaja kwani lilikuwa kwenye simu akiniomba nikubali kosa kisha niombe msamaha kwake ili tuanze UPYA vilevile tuendelee na mipango yetu ya NDOA hapo mwezi wa saba(7) mwakani

Ndugu zangu, Je ni HAKI kwangu kukiri kosa na kuomba msamaha vilevile haitosababisha mapenzi yetu kufa.
Kataa mpaka unaingia KABURINI KATAAAAAAA!
 
Kataa mpaka unaingia KABURINI KATAAAAAAA!


mmmmhhhhhh wewe
akikata maisha yao yote ya ndoa yatakuwa yaugomvi
hawata ishi maisha ya raha kabisa
kwa sababu atawekewa security camera every where....
na hizo revenge ...
mi naona kweli aseme tu ukweli....
 
kiri kosa omba msamaha
atakusamehe kwa sababbu ashakwambia kiri ntakusamehe basi usiifanye ngumu shingo yako ...ukiwa mkaidi ikivunjika haitafaa tena
usirudie tena afta msamaha sawa?
KWANINI ULIENDA KUCHOVYA NJE?pls i wan knw pia mwelezee na yeye y ulitoka nje ili km kuna mapungufu bas muyasafishe kbsa b4 ndoa
KINYUME NA APO SUBIRI REVENGE EVEN AFTA 10 YRS WEWE UMESAHAU YEYE NDO ATAKULIPIZIA.
fanza km alivyokwambia.

napata wasi wasi anaweza pigwa kibuti ...
Nilimuona kaka mmoja alihisi wife wake anacheat ..na akaja-confirm ni kweli.
Kila siku akimuuliza wife anakataa kabisa na hakuwa na evidence zaidi ya kumfanya amhukumu moja kwa moja.
wakakaa mwaka wa kwanza wa pili wa tatu kila siku anambembeleza amwambie kama kweli ali-cheat
Siku moja kamwamsha usiku wa manane na kumpa maneno matamu sana huku akimbembeleza amwambia kama ni kweli ali-cheat kwa jinsi mwanaume alivyokuwa anaongea kwa huruma na machozi na kumuhakikishia hata akimwambia ukweli ndoa yao iko pale pale .na nadhani huyo kaka aliamini mkewe akimwambia ukweli atakuwa mvumilivu wa kukabili jambo hilo
Maskini Bi dada akasema yes dear husband nilicheat bila kukusudia nisamehe mme wangu sitarudia
Kumbe husband anamrecord na kawa anarudia kila siku kusikiliza hiyo saut ya mkewe akisema yes dear husband nilicheat bila kukusudia nisamehe mme wangu huo ndo ulikuwa mwisho wa ndoa yao..
 
napata wasi wasi anaweza pigwa kibuti ...
Nilimuona kaka mmoja alihisi wife wake anacheat ..na akaja-confirm ni kweli.
Kila siku akimuuliza wife anakataa kabisa na hakuwa na evidence zaidi ya kumfanya amhukumu moja kwa moja.
wakakaa mwaka wa kwanza wa pili wa tatu kila siku anambembeleza amwambie kama kweli ali-cheat
Siku moja kamwamsha usiku wa manane na kumpa maneno matamu sana huku akimbembeleza amwambia kama ni kweli ali-cheat kwa jinsi mwanaume alivyokuwa anaongea kwa huruma na machozi na kumuhakikishia hata akimwambia ukweli ndoa yao iko pale pale .na nadhani huyo kaka aliamini mkewe akimwambia ukweli atakuwa mvumilivu wa kukabili jambo hilo
Maskini Bi dada akasema yes dear husband nilicheat bila kukusudia nisamehe mme wangu sitarudia
Kumbe husband anamrecord na kawa anarudia kila siku kusikiliza hiyo saut ya mkewe akisema yes dear husband nilicheat bila kukusudia nisamehe mme wangu huo ndo ulikuwa mwisho wa ndoa yao..

Ooog poor woman...angejua angegoma tu hadi kieleweke
Mi nakushauri we kaka endelea tu kukataa yaani ukithubutu kujihukumu umekwisha
Stick to your lie and you will find yourself believing it na maisha yatasonga mbele
but usirudie tena
 
Usijidanganye ndugu yangu kataaaaa katakata kwani aliiona ikiingia shimoni? au alikusaidia? kataaaaaa usikubali:nono:
 
Kama ana ushahidi kubali omba msamaha,muombe muanze upya lkn na wewe ubadilike.Jijengee tabia ya uaminifu,hujaoa mara hii umeanza kucheat jamani! ukioa je ukamzoea si utakuwa hushikiki?anyway,naamini huwa tunakosea na wewe kama umegundua kosa utabadilika.

Unapokosea usione shida kuomba msamaha ili kuweka hali shwari,ukiomba msamaha bado utabaki kuwa mwanaume tuu tena mstaarabu hivyo isikupe shida
 
Deny deny deny deny! Kama hujakamatwa kwenye eneo la tukio, tafuta kisingizio cha kuonekana au kuwasiliana na huyo demu, singizia ulikuwa unafuatilia kazi au biashara or any other credible excuse.

Hata ukiomba msamaha, si kwamba atakusamehe. Atajifanya tu amekusamehe,na labda ata-ignore tu kwa muda. One thing you should know, is that women never forget such issues.
Atakuja kukumbushia siku moja na inaweza ikawa chanzo cha ugomvi hata miaka kumi baadaye. Unachotakiwa kufanya ni kukataa, kataa, kataa, kataa, kwamba ulilamba huyo demu mwingine. Ila usirudie tena kucharge huko na huko kama charger ya kobe.

sio wanawake wote...mie nipo kama huyu mdada, yaani nikiwa na uhakika wa kitu then mtu anataka kuniona mjinga huwa kesi haiishi, kwangu nikiambiwa ukweli nakuwa na amani na ansamehe kabisa, wambie ukweli kitendo ulichomfanyia, tamaa zinawaponza.
 
sio wanawake wote...mie nipo kama huyu mdada, yaani nikiwa na uhakika wa kitu then mtu anataka kuniona mjinga huwa kesi haiishi, kwangu nikiambiwa ukweli nakuwa na amani na ansamehe kabisa, wambie ukweli kitendo ulichomfanyia, tamaa zinawaponza.

Unapotea sana bana!nimekukosa muda
 
napata wasi wasi anaweza pigwa kibuti ...
Nilimuona kaka mmoja alihisi wife wake anacheat ..na akaja-confirm ni kweli.
Kila siku akimuuliza wife anakataa kabisa na hakuwa na evidence zaidi ya kumfanya amhukumu moja kwa moja.
wakakaa mwaka wa kwanza wa pili wa tatu kila siku anambembeleza amwambie kama kweli ali-cheat
Siku moja kamwamsha usiku wa manane na kumpa maneno matamu sana huku akimbembeleza amwambia kama ni kweli ali-cheat kwa jinsi mwanaume alivyokuwa anaongea kwa huruma na machozi na kumuhakikishia hata akimwambia ukweli ndoa yao iko pale pale .na nadhani huyo kaka aliamini mkewe akimwambia ukweli atakuwa mvumilivu wa kukabili jambo hilo
Maskini Bi dada akasema yes dear husband nilicheat bila kukusudia nisamehe mme wangu sitarudia
Kumbe husband anamrecord na kawa anarudia kila siku kusikiliza hiyo saut ya mkewe akisema yes dear husband nilicheat bila kukusudia nisamehe mme wangu huo ndo ulikuwa mwisho wa ndoa yao..

FL wanaume ni tofauti sana kwenye ishu ya kusamehe anapojua ume cheat, cc huwa tunajua tunapata uhakika na tunasamehe, cjawahi kuona mwanaume ameweza msamehe mke wake kwenye ishu ya ku cheat kirahic, lakini cc wanawake pamoja na mie pia nilishasamehe mr aliponi cheat, kuna tofauti kubwa sana ya kusamehe kwa mwanaume na mwanamke kweye hii ishu, huyu mdada angekuwa ngugu/frnd wangu ningemuuliza kama bado anaipenda ndoa yake na angeniambia ndio bac ningemshauri hata afanywaje na mume wake ackubali ukweli, ni ngumu sana kwa wanaume.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom