Kukengeuka kwa Shibuda! . . . . Ukweli ni Huu!?

Nov 4, 2010
83
2
Morning wadau,

sote tulishuhudia mh. shibuda kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa pinda na kupata laga za mh. rais kikwete jioni.
akizungumzia uhalisia wa kuwabwaga chadema, shibuda alisema yeye ni mbunge wa wananchi wa maswa na kaenda shughulini kama mbunge sio chadema, isitoshe anatanguliza utaifa kwanza!
hili linanichanganya kuona nani anabusara zaidi? probably chadema, most probably shibuda? thanks
 
Navyojua mimi chadema hawana chuki na CCM wala rais ila walionyesha kutokubaliana na Mfumao wa uchaguzi na Katiba ya nchi sasa si issue ya kumchukia mtu.

Kimsingi chadema wamesema wazi hawana chuki na JK kama JK ila na mfumo wa tume ya taifa ya uchaguzi uliomweka JK na wengine madarakani.
 
Hivi ndugu, ulitaka asihudhurie sherehe iliyoandaliwa kwa ajili ya wabunge wote?
Umesikia wapi CHADEMA wanasema ccm ni maadui zao? Ukitofautiana na mtu ktk mtizamo wa kisiasa ina maana unajenga uadui nae? Hutamsalimia? hutaongea nae?
 
we unacheza na biyaaaaaaaaaa nini
Bia haina Chama wala uadui... yeye amealikwa ameenda kula na kupata news
sasa wewe unataka watu wanuniane hata wasikae pamoja kisa vyama....
Hata Silaa angekuwepo angeenda kupatapo hata ka nyama kwanza ni hela za wananxhi hizosi za CCM....
 
Jamani hebu acheni uchonganishi kwani kuna Ubaya gani shibuda Kuhudhuria Sherehe hizo, Kuna Mijitu inatafuta kila mbinu ili kuchonagisha,kuonekane kuna uadui
 
Lets close this topic because at the end of the day we will just get mixed up..

Shibuda is our chadema mp.. That is all

chadema is our part...... Just remember we are all some times if not all the times make mistakes...

So whether chadema or shibuda made a mistake time will tell...
 
Shibuda::Marando:: (and Now) Zitto wote "bado wapo wapo" : Historia itawahukumu tu!
 
Morning wadau,

sote tulishuhudia mh. shibuda kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa pinda na kupata laga za mh. rais kikwete jioni.
akizungumzia uhalisia wa kuwabwaga chadema, shibuda alisema yeye ni mbunge wa wananchi wa maswa na kaenda shughulini kama mbunge sio chadema, isitoshe anatanguliza utaifa kwanza!
hili linanichanganya kuona nani anabusara zaidi? probably chadema, most probably shibuda? thanks

Chadema wakimnyang'anya tu hiyo tiketi ajuwe anatelemshwa kwenye hilo basi liitwalo Bunge na kubaki barabarani. Huyo ni Chadema tool ambayo imeingiza viti maalum kwa ajili ya kazi kubwa Bungeni.
 
anger.jpg
 
Hivi ndugu, ulitaka asihudhurie sherehe iliyoandaliwa kwa ajili ya wabunge wote?
Umesikia wapi CHADEMA wanasema ccm ni maadui zao? Ukitofautiana na mtu ktk mtizamo wa kisiasa ina maana unajenga uadui nae? Hutamsalimia? hutaongea nae?
Mie na yule wangu wa ubani tuko itikadi tofauti kabisa za kisiasa na tukizungumza siasa waweza kudhani tu maadui, ila tukula pamoja kunywa pamoja mwishowe tunatumia shuka moja. Mtoa mada anataka kutushauri hayo tuyaache? hakuna uadui wa vyama kihivyo sote bado ni WaTZ.
 
Kwa nini nazuia Shibuda kuhojiwa uhalali wake kwenda against wishes za CHADEMA?

AlikUwa against kuwalk out wakati wa hotuba ya Rais ya ufunguzi wa Bunge la 10 la JMT. Anamtambua Rais na anaitambua serikali. Isitoshe alichangia Tshs 200,000 kwa Kikwete ili akachukue fomu ya kugombea Urais. Huyu ndiye Shibuda mpiganaji wenu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom