Elections 2015 Kukatwa kwa Lowassa, ni mwisho wa ile safari, au ni mwanzo wa Safari Halisi ya Matumaini?

Peingine nyie ndio hamumumfahamu Lowassa, maana CCM wanamfahamu zaidi yenu mkimsoma katika magazeti tu, na wamemwaga. Kama angekuwa na nguvu hizo wasingethubutu ila walijua yote haya mapema sana na watu wake walitishiwa toka zamani kuwa akikosa Urais CCM atahamia CDM na bado CCM wamlimwaga - huwezi kufikiria hapo tu?

Pili, Lowassa akiwa Rais atakuwa rais wa Kundi lake yeye, na sio wa UKAWA maana Urais kautafuta kwa miaka 20 akiwa CCM kama ulivyosema, hao CDM wala NCCR hawakuwa naye wakati wote. Hilo kundi lake pekee kisha waahidi wizara na kushika mamlaka ya juu kabisa ya serikali yake ataweza vipi awaachie nyie ambao hamkuwa naye miaka yote?.. Na akisha apishwa akawa Rais ana kinga zote, Je,kimchagua Chenge waziri mkuu mtamfanya nini? hamtakuwa na la kusema ila kulalamika!..Ame Cross line kwa sababu ana uchu wa madaraka na huko CDM kumejaa mbumbumbu wachumia tumbo. Ebu fikiri moja kwanza Je akikosa Urais mtakuwa mtabakia na sura gani machoni mwa watu maana kuna kupata na kukosa!

Hizo Billioni mnazotegemea kupewa ili wabunge wenu waweze kuwa na fedha za kujitangaza hazitawasaidia chochote maana siku hizi watu wanakula mshiko kisha kura zao wanampa mtu mwingine. Sii wajinga hivyo na ndivyo alivyofanywa Lowassa kwenye vikao vya CC ya CCM watu walikula fedha na bado wakamwaga wengine wamesha mkimbia!...Imekula kwenu mkuu, tamaa ya fedha imewafikisha pabaya wala sii kutaka mageuzi ya kisiasa maana mngeweza hata bila yeye wala UKAWA kama mngejipanga na kusikiliza ushauri wa watu wanaojua Siasa..

Hivi alikatwa na CC au NEC au hukumsikiliza Nchimbi na Simba
 
Pasco,
haya hayawi hayawi yamekuwa, sasa nasema hivi kumchinja kuku unamwelekeza Kibla unamkanyaga mbawa zake na kupanda shingo lake kisha unapitisha kisu watu wakiangalia na wengine wakishangilia, hivyo ndivyo kifo cha Lowassa na UKAWA.
Mkuu , kifo hiki unachokizungumza ni kifo cha CCM!, ila pia nimegundua tuna watu humu waliokuwa wakijifanya ni pro opposition, huku mioyoni mwao wanaipenda CCM kwa dhati, sasa baada ya kuenea hizi habari za possibility ya Lowassa ku cross ambayo ndio kifo cha ukweli cha CCM, sasa wanaingiwa uoga na kuanza kujionyesha rangi zao halisi kwa kuchelea kifo cha CCM!. Nasema kwa msisitizo, Lowassa akisimama UKAWA, CCM Chali!.

leo nyie mnachukua MAFISADI dhidi ya CCM ambayo ina nguvu kuliko nyie.. Hamuwezi kupata mageuzi kwa njia hiyo nawahakikishia kabisa CCM chama kubwa Lowassa na kundi ake ni wachumia tumbo rahisi sana kubomolewa.

Kwanza wataanza na yeye kisiasa wakishindwa, mwanaye ana scandal ya nyumba London inaweza ibuliwa, kesi ya EPA na Richmond zinaweza ibuliwa upya hata akisema JK ndiye mwenye mzigo (wewe ulihusika vipi?) itabidi asimamishwe yeye kugombea. JK ni rais ana kinga hata akisha achia ngazi wala hagombei tena. Kesi inapikwa mahakamani KWISHA kazi!. Muda wa Uchaguzi umekwisha..
Mawazo haya mimi nayaita ya ki CCM, determinant ya ushindi wa Lowassa dhidi ya CCM sio mbinu gani zitakazotumiwa bali Lowassa ni mtu aliyejaaliwa karama ya mvuto wa 'vox populi' ambayo ndio 'vox Dei!'!, CCM hawana, Magufuli hana!. Tukubali tukatae kama ni nguvu ya utendaji, Magufuli ni mtendaji mzuri kuliko Lowassa, Magufuli ni muongeaji mzuri kuliko Lowassa!, ila Magufuli hana hiyo karama ya 'vox populi!', hivyo Magufuli sio 'Vox Dei!".

Karibu unitembelee hapa
[h=3]Kuelekea Octoba 2015: Je, Hii "Vox Populi" ni "Vox Dei" [/h]At this juncture, nawaomba nyie ma Great Thinkers wa JF, watu wenye ushawishi mkubwa humu, tuungane kwenye hili, yuutumie uwezo wetu na nguvu yetu ya ushawishi, kuisupport hii move ya Lowassa ili tuipumzishe CCM, unless kama nilivyosema mwanzo, kama wenzetu ni pro opposition kwa nje na mna mapenzi na CCM kwa ndani, mnaweza kuendelea na kazi ya kumbomoa Lowassa na kuibeza UKAWA, we real need you, kwenye together we stand, but ukombozi wa Tanzania, don't depend on you!, we bank on "vox populi!", you only have two choices, either with us or against us!.

Aluta Continua Victoria Acerta!.

Pasco
 
Either you support and vie through TNA (In this perception "CDM") (in central Kenya) or you perish!- Uhuru Kenyatta
Hivi ndivyo ilivyo. Ukweli na usemwe,hii coaction ya Chadema na EL ni deadly working machine. hata huko majimboni masalia ya wagombea ubunge wa ccm watakuwa na hali tete,haijalishi ni kwa Mwakyembe,kwa muhongo,kwa Mwigulu,Ni bomoa bomoa tu. Pasco nimekukubali. I admire you folk.
 
Last edited by a moderator:
Sema kipenzi cha wapenda pesa. Kama kipenz cha wengi mbona huko cc wamemfyeka?

1. Kwani CC jina lake liliingia..??? Acha upofu wa fikra, ni mbaya sana...
2. Hivi unajuwa CC yaliingia majina mangapi?
3. Unajuwa kamati ya maadili ilifanya nini?
4. Unajuwa siri ya wajumbe wa kamati ya CC kuimba wana imani naLowasa.?
 
Peingine nyie ndio hamumumfahamu Lowassa, maana CCM wanamfahamu zaidi yenu mkimsoma katika magazeti tu, na wamemwaga. Kama angekuwa na nguvu hizo wasingethubutu ila walijua yote haya mapema sana na watu wake walitishiwa toka zamani kuwa akikosa Urais CCM atahamia CDM na bado CCM wamlimwaga - huwezi kufikiria hapo tu?

Pili, Lowassa akiwa Rais atakuwa rais wa Kundi lake yeye, na sio wa UKAWA maana Urais kautafuta kwa miaka 20 akiwa CCM kama ulivyosema, hao CDM wala NCCR hawakuwa naye wakati wote. Hilo kundi lake pekee kisha waahidi wizara na kushika mamlaka ya juu kabisa ya serikali yake ataweza vipi awaachie nyie ambao hamkuwa naye miaka yote?.. Na akisha apishwa akawa Rais ana kinga zote, Je,kimchagua Chenge waziri mkuu mtamfanya nini? hamtakuwa na la kusema ila kulalamika!..Ame Cross line kwa sababu ana uchu wa madaraka na huko CDM kumejaa mbumbumbu wachumia tumbo. Ebu fikiri moja kwanza Je akikosa Urais mtakuwa mtabakia na sura gani machoni mwa watu maana kuna kupata na kukosa!

Hizo Billioni mnazotegemea kupewa ili wabunge wenu waweze kuwa na fedha za kujitangaza hazitawasaidia chochote maana siku hizi watu wanakula mshiko kisha kura zao wanampa mtu mwingine. Sii wajinga hivyo na ndivyo alivyofanywa Lowassa kwenye vikao vya CC ya CCM watu walikula fedha na bado wakamwaga wengine wamesha mkimbia!...Imekula kwenu mkuu, tamaa ya fedha imewafikisha pabaya wala sii kutaka mageuzi ya kisiasa maana mngeweza hata bila yeye wala UKAWA kama mngejipanga na kusikiliza ushauri wa watu wanaojua Siasa..
Mkandara,

Kwa taarifa tu EL hakukatwa na CC wala NEC bali kamati ya maadili, lakini hata baada ya jina lake kukatwa bado nguvu yake ilionekana kwa kulazimisha chaguo ambalo hawakutegemea (Magufuli).

Pili Lowassa anaijua CCM na Kikwete in and out ana watu wakubwa ndani ya chama na serikali kwa hiyo chochote watakachopanga lazima kimfikie.

Ni ukweli usiopingika kama akifanikiwa kuupata urais ataweka anaowataka, sawa hata mimi ningefanya hivyo lakini kumbuka kuna makubaliano possibly chanya ambayo hatuyajui ambayo lazima yazingatiwe na chama kama taasisi.

Binafsi nafikiri real pro opposition wengi (Pasco) watakubaliana na mimi kuwa tembo afe kwanza suala la nani atachukua maini lije baadaye, tukibaki kuzozana nani atachukua hiki tembo atazidi kukua mwisho tutastukia kala mazao yote.

Kuhusu billions za EL hiyo siyo issue kwa vile Chadema ilikuwa imejipanga kuingia kwenye uchaguzi bila hata Lowassa, Lowassa na billion zake kama kweli zipo is an added advantage au kama Pasco anavyoita ni sawa na catalyst kwenye uchaguzi.
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,

CC ya CCM, imefanya kazi yake, imelikata jina la kipenzi cha wengi, Edward Ngoyai Lowassa!.

Jee kukatwa huku ndio mwisho wa ile safari ya matumaini, au ndio mwanzo wa safari ya kweli ya matumaini, kwa kipenzi cha watu, kuanza rasmi safari ya ukombozi wa kweli wa pili wa Mtanzania, kwa kuipeleka rasmi CCM kaburini?

Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, aliwahi kusema, upinzani wa kweli, utatoka CCM. Jee hiki ndio kipindi cha upinzani huu?

Kwa miaka 50 sasa, Watanzania tumelogwa na jinamizi la CCM kiasi cha kuamini mgombea wa CCM ndie automatically atakuwa rais wa Tanzania!. Wanaopiga kura sio CCM bali ni Watanzania!. Kama Lowassa ndie chaguo la watu, CCM wakaamua kumkata, jee sisi ambao ndio watu, tumchukue Lowassa, kupitia chama kingine chochote tumuingize ikulu?

Jee Lowassa tuliombatiza jina la mwamba, ataliishi hilo jina la mwamba kwa kuonyesha umwamba wake kwa kutokubali kuchinjwa na kufanywa mbuzi wa shughuli, au lile jina la mwamba, tulimpachika tuu, ila in reality kumbe sii mwamba lolote wala chochote, bali ni kichuguu tuu?.

Mimi bado ni muumini wa andiko hili lisemalo "Jiwe Walilolikataa Waashi, Litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni!", jee Watanzania tuendelee kuwatumainia hawa waashi wa CCM kuamua hatma yetu na taifa letu, au tumchukue mtu wetu na kusindikiza ikulu nje ya CCM?

Nauliza tena, jee huu ndio mwisho wa safari, au mwanzo wa safari ya kweli ya matumaini kwanza kwa kuingoa CCM na kuikomboa Tanzania?!.

Japo CCM ni chama kikubwa, kikongwe, na chenye nguvu, mbele ya Lowassa CCM ni chepesi kama unyoya, akipuliza tuu kinapeperuka, na hizo nguvu CCM inazojivunia, mbele ya Lowassa ni kama uzi wa utando wa buibui, ukigusa tuu umekatika!.

Wapenzi, wafuasi, na mashabiki wa Lowassa, wanachosubiri sasa ni aseme neno moja tuu na roho zao zitapoa!, akiamua kukubali matokeo kuwa kukatwa kwake ndio mwisho wa safari, na akubali na aseme wazi, "Eloi Eloi, Yemekwisha!", na kama hajakubali, atamke wazi kuianza ile safari ya ukombozi wa pili wa Mtanzania, dhidi ya mkoloni mchwa CCM, aliyelitafuna taifa letu kwa miaka 50, na akitamka tuu!, "CCM Basi!", huo ndio utakuwa mwisho wa hili zimwi linaloitwa CCM!, CCM itakuwa ni bye bye jumla, kaburini forever!, kwa sababu kazi kubwa ya kwanza ya serikali mpya, itakuwa ni kuzitaifisha mali zote za umma CCM iliyozipora na kuzipata kwa njia dhalimu kwa kuzipora toka kwa Watanzania katika kipindi cha utawala wake, na kujimilikisha kujifanya ni mali zake, yakiwemo majengo yake yote!. CCM ikiishakuwa haina kitu, hiyo sio CCM tena bali itageuka CCM mfu na tutaizika rasmi kaburini!.

Lowassa sema....
Sema usiogope sema!.

Linasubiriwa Neno tuu!.

Pasco!




Mkuu Pasco you are a living legend!
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,
CC ya CCM, imefanya kazi yake, imelikata jina la kipenzi cha wengi, Edward Ngoyai Lowassa!.

Jee kukatwa huku ndio mwisho wa ile safari ya matumaini, au ndio mwanzo wa safari ya kweli ya matumaini, kwa kipenzi cha watu, kuanza rasmi safari ya ukombozi wa kweli wa pili wa Mtanzania, kwa kuipeleka rasmi CCM kaburini?

Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, aliwahi kusema, upinzani wa kweli, utatoka CCM. Jee hiki ndio kipindi cha upinzani huu?

Kwa miaka 50 sasa, Watanzania tumelogwa na jinamizi la CCM kiasi cha kuamini mgombea wa CCM ndie automatically atakuwa rais wa Tanzania!. Wanaopiga kura sio CCM bali ni Watanzania!. Kama Lowassa ndie chaguo la watu, CCM wakaamua kumkata, jee sisi ambao ndio watu, tumchukue Lowassa, kupitia chama kingine chochote tumuingize ikulu?

Jee Lowassa tuliombatiza jina la mwamba, ataliishi hilo jina la mwamba kwa kuonyesha umwamba wake kwa kutokubali kuchinjwa na kufanywa mbuzi wa shughuli, au lile jina la mwamba, tulimpachika tuu, ila in reality kumbe sii mwamba lolote wala chochote, bali ni kichuguu tuu?.

Mimi bado ni muumini wa andiko hili lisemalo "Jiwe Walilolikataa Waashi, Litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni!", jee Watanzania tuendelee kuwatumainia hawa waashi wa CCM kuamua hatma yetu na taifa letu, au tumchukue mtu wetu na kusindikiza ikulu nje ya CCM?

Nauliza tena, jee huu ndio mwisho wa safari, au mwanzo wa safari ya kweli ya matumaini kwanza kwa kuingoa CCM na kuikomboa Tanzania?!.

Japo CCM ni chama kikubwa, kikongwe, na chenye nguvu, mbele ya Lowassa CCM ni chepesi kama unyoya, akipuliza tuu kinapeperuka, na hizo nguvu CCM inazojivunia, mbele ya Lowassa ni kama uzi wa utando wa buibui, ukigusa tuu umekatika!.

Wapenzi, wafuasi, na mashabiki wa Lowassa, wanachosubiri sasa ni aseme neno moja tuu na roho zao zitapoa!, akiamua kukubali matokeo kuwa kukatwa kwake ndio mwisho wa safari, na akubali na aseme wazi, "Eloi Eloi, Yemekwisha!", na kama hajakubali, atamke wazi kuianza ile safari ya ukombozi wa pili wa Mtanzania, dhidi ya mkoloni mchwa CCM, aliyelitafuna taifa letu kwa miaka 50, na akitamka tuu!, "CCM Basi!", huo ndio utakuwa mwisho wa hili zimwi linaloitwa CCM!, CCM itakuwa ni bye bye jumla, kaburini forever!, kwa sababu kazi kubwa ya kwanza ya serikali mpya, itakuwa ni kuzitaifisha mali zote za umma CCM iliyozipora na kuzipata kwa njia dhalimu kwa kuzipora toka kwa Watanzania katika kipindi cha utawala wake, na kujimilikisha kujifanya ni mali zake, yakiwemo majengo yake yote!. CCM ikiishakuwa haina kitu, hiyo sio CCM tena bali itageuka CCM mfu na tutaizika rasmi kaburini!.

Lowassa sema....
Sema usiogope sema!.

Linasubiriwa Neno tuu!.

Pasco!


Nafanya tafakuri tuu.

P.
 
Daah.. Hili Game zuri kweli. Ukilitazama kwa mbali unaweza tengeneza Novel ya Kiswahili yenye kuuzika vizuri. Lowassa kwa watanzania hakakiti aisee. " ULIPO TUPO.
 
Wanabodi,

CC ya CCM, imefanya kazi yake, imelikata jina la kipenzi cha wengi, Edward Ngoyai Lowassa!.

Jee kukatwa huku ndio mwisho wa ile safari ya matumaini, au ndio mwanzo wa safari ya kweli ya matumaini, kwa kipenzi cha watu, kuanza rasmi safari ya ukombozi wa kweli wa pili wa Mtanzania, kwa kuipeleka rasmi CCM kaburini?

Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, aliwahi kusema, upinzani wa kweli, utatoka CCM. Jee hiki ndio kipindi cha upinzani huu?

Kwa miaka 50 sasa, Watanzania tumelogwa na jinamizi la CCM kiasi cha kuamini mgombea wa CCM ndie automatically atakuwa rais wa Tanzania!. Wanaopiga kura sio CCM bali ni Watanzania!. Kama Lowassa ndie chaguo la watu, CCM wakaamua kumkata, jee sisi ambao ndio watu, tumchukue Lowassa, kupitia chama kingine chochote tumuingize ikulu?

Jee Lowassa tuliombatiza jina la mwamba, ataliishi hilo jina la mwamba kwa kuonyesha umwamba wake kwa kutokubali kuchinjwa na kufanywa mbuzi wa shughuli, au lile jina la mwamba, tulimpachika tuu, ila in reality kumbe sii mwamba lolote wala chochote, bali ni kichuguu tuu?.

Mimi bado ni muumini wa andiko hili lisemalo "Jiwe Walilolikataa Waashi, Litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni!", jee Watanzania tuendelee kuwatumainia hawa waashi wa CCM kuamua hatma yetu na taifa letu, au tumchukue mtu wetu na kusindikiza ikulu nje ya CCM?

Nauliza tena, jee huu ndio mwisho wa safari, au mwanzo wa safari ya kweli ya matumaini kwanza kwa kuingoa CCM na kuikomboa Tanzania?!.

Japo CCM ni chama kikubwa, kikongwe, na chenye nguvu, mbele ya Lowassa CCM ni chepesi kama unyoya, akipuliza tuu kinapeperuka, na hizo nguvu CCM inazojivunia, mbele ya Lowassa ni kama uzi wa utando wa buibui, ukigusa tuu umekatika!.

Wapenzi, wafuasi, na mashabiki wa Lowassa, wanachosubiri sasa ni aseme neno moja tuu na roho zao zitapoa!, akiamua kukubali matokeo kuwa kukatwa kwake ndio mwisho wa safari, na akubali na aseme wazi, "Eloi Eloi, Yemekwisha!", na kama hajakubali, atamke wazi kuianza ile safari ya ukombozi wa pili wa Mtanzania, dhidi ya mkoloni mchwa CCM, aliyelitafuna taifa letu kwa miaka 50, na akitamka tuu!, "CCM Basi!", huo ndio utakuwa mwisho wa hili zimwi linaloitwa CCM!, CCM itakuwa ni bye bye jumla, kaburini forever!, kwa sababu kazi kubwa ya kwanza ya serikali mpya, itakuwa ni kuzitaifisha mali zote za umma CCM iliyozipora na kuzipata kwa njia dhalimu kwa kuzipora toka kwa Watanzania katika kipindi cha utawala wake, na kujimilikisha kujifanya ni mali zake, yakiwemo majengo yake yote!. CCM ikiishakuwa haina kitu, hiyo sio CCM tena bali itageuka CCM mfu na tutaizika rasmi kaburini!.

Lowassa sema....
Sema usiogope sema!.

Linasubiriwa Neno tuu!.

Pasco!

Pasco uliona mbali sana. Congratulations to you my brother.
 
Last edited by a moderator:
Lowassa ni superPower amefanya kampeni mara 4 katika uchaguzi wa mwaka huu,kura za mjini na vijijini anazo za kutosha,kumbuka huyu alikuwa ccm miezi 4 iliyopita.
 
Lowassa ni superPower amefanya kampeni mara 4 katika uchaguzi wa mwaka huu,kura za mjini na vijijini anazo za kutosha,kumbuka huyu alikuwa ccm miezi 4 iliyopita.
HABARI YA LOWASSA HAINA MVUTO TENA. HAKUNA SIKU NILIFURAHI KAMA ALIPOKATWA NA CCM. ALIJIDANGANYA KWAMBA YEYE NI MAARUFU KULIKO CHAMA! AKATHIBITISHIWA KWAMBA SIYO HIVYO. KAKATWA NA MAISHA YANAENDELEA. SAAAAAAAAAAAAAFIIIIIIIIIIIIIII!
 
Back
Top Bottom