Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swala la Kodi ndio lipo.Habarini wana jamvi, Ningependa kufahamu kama kuna suala la kukatwa kodi na TRA pale unapoagiza mzigo toka Ebay au Amazon, mizigo kama simu, nguo, perfumes N.K, nitashukuru sana kwa msaada wenu wenye experience na hiki kitu.
Swala la Kodi ndio lipo.
Pia kulipia kodi au koto lipia kodi (kwa baadhi ya bidhaa) hutegemea aina njia ya usafirishaji uliyotumia. Mfano KINDLE TAB ikija kwa dhl utalipia Kodi. Lakini hiyo hiyo kindle Tab ikija kwa njia ya posta Haulipii kodi. ( Hapa huwa nashindwa kuelewa vigezo vipi hutumika)
- Niliagiza Kindle PaperWhite - ilikuja kwa DHL, nililipa KODI
- Niliagiza Kindle Fire 7 - imekuja kwa njia ya posta sikulipa KODI
View attachment 377258
Nashukuru kwa maelezo yako mkuu, nina maswali matatu ya mwisho
1. Kodi nitakayotakiwa kulipa kama nimetumia DHL au njia nyingine tofauti na posta ni asilimia ngapi?
2. Je kodi hii nalipia bandarini au pale nitakapopata mzigo wangu?
3. Nasikia hawa jamaa wa posta ni wezi sana wa mizigo kuna ukweli wowote hapo?maana naona wewe Kindle paperwhite yako uliipata salama.
Zinafikia 50% ya ghalama ya manunuzi ya bidhaa.Umejibu vizuri sana ila calculations za kodi zinaumiza sana kwa kweli.
Sorry ukitumia njia ya posta utapata nafuu ya kodi?!Nashukuru Mwl.RCT aisee umenipa shule nzuri sana hapo, ila kwa utaratibu huo wa kodi mimi nitatumia njia ya posta tu.
Ukinunua vitabu kwa App ya Amazon Shopping wanakata kodi ?Zinafikia 50% ya ghalama ya manunuzi ya bidhaa.
- Hawakati kodi.Ukinunua vitabu kwa App ya Amazon Shopping wanakata kodi ?
Nakumbuka niliwahi kugiza bidhaa zikaja kwa postal nikalipia baadhi na zingine sikulipa. Nilipowauliza ni kwamba kuna kiwango cha thamani ya bidhaa, ikizidi hiyo ndio kuna kodi. Nimesahau ni kiasi gani.Swala la Kodi ndio lipo.
Pia kulipia kodi au koto lipia kodi (kwa baadhi ya bidhaa) hutegemea aina njia ya usafirishaji uliyotumia. Mfano KINDLE TAB ikija kwa dhl utalipia Kodi. Lakini hiyo hiyo kindle Tab ikija kwa njia ya posta Haulipii kodi. ( Hapa huwa nashindwa kuelewa vigezo vipi hutumika)
- Niliagiza Kindle PaperWhite - ilikuja kwa DHL, nililipa KODI
- Niliagiza Kindle Fire 7 - imekuja kwa njia ya posta sikulipa KODI
View attachment 377258
NJIA ZA MAWASILIANO0718 55 300 3 Mwalimu RCT naomba unichek tufanyebiashara
Kwa swala la Gari - Ghalama ya kodi inatokana na vipengele vifuatavyonmeshindwa kuzoom hapo bro ila nina ndoto ya kununua gari flan hv used yenye thaman ya kama 1600dollar kwhy kaka ili ifike ni lazima niwe na kama 2400dollar kwa makadirio?