Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,615
Wameambiwa kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
Kuna jeneretaNajiuliza na kambi za jeshi nazo umeme unakatika??je kama ni hivyo hali ya usalama inakuaje??? Au jeshi lina chanzo Cha umeme cha kujitegemea!!!
Hiyo ni fedheha kabisa!!Kuna jenereta
Watu wanapiga pesaHiyo ni fedheha kabisa!!
Ukimya wao haumaanishi kuwa hakuna wanalolifanya kuhusiana na umeme.Kwa miezi takribani 4 sasa umeme umekuwa unakatwa kwa makusudi na watu wa Tanesco kwa kile kinachoitwa upungufu wa umeme nchini.
Tanzania inazalisha umeme toka vyanzo mbali mbali na moja ya chanzo ni umemewa maji ambapo kama mvua zipo nzuri hutupatia takribani 560MW .
Kwa miaka karibu 15 sasa Tanzania imekuwa inapitia kwenye mgawo wa umeme kutokana na uhaba wa mvua kutokana na madiriko ya Tabia nchi .
Tangu utawala wa JK .. kumekuwa na jitihada na makisudi za kupunguza athari ya mgao kutokana na kupungua kwa mvua.
Hata enzi ya Makufuli kulifanyika jitahada za makusudi kupunguza makali ya mgao wa umeme.
Lakini awamu hii chini ya Maharagwe - MD Tanesco, Makamba - Waziri wa Nishati na hata Mama Mh Samia -Rais .. Kila mtu yupo kimya kama kila kitu kiko sawa.
Mbaya Zaidi wananchi ndio wapo kimya zaidi kama vile kila kitu kiko sawa.
Naambiwa kwa week mbili zijazo hali ya kukatika kwa umeme itakuwa mbaya zaidi.
Wanatakiwa kutoka na kutuambia nini wanafanya kupunguza au kutatua hali hii.
Muona Mambo
Waseme wanafanya nini, ndio maana ya utumishi wa umma, lazima umma upate taarifa sahihi kila wakati.Ukimya wao haumaanishi kuwa hakuna wanalolifanya kuhusiana na umeme.
Ushahidi wa kazi yao ni umeme unaosambaa nchi nzima. Zipo kazi ambazo matendo yanaongea kuliko maneno.Waseme wanafanya nini, ndio maana ya utumishi wa umma, lazima umma upate taarifa sahihi kila wakati.
Ushahidi wa kazi yao ni umeme unaosambaa nchi nzima. Zipo kazi ambazo matendo yanaongea kuliko maneno.
Warudishe mara ngapi? Wapo tayari, lazima kizazi hiki kikamuliwe kama ng'ombe.Wananchi tusilale, Mkwere, Mzanzibari na Makamba wanataka warudishe makampuni yao ya kifisadi, ili kuhujumu uchumi wetu
Hii nchi imejaa wajinga sana, wataturudisha huko and there's nothing we can do, vyombo nchii vilitakiwa kulinda nchi na maslahi mapana ya taifa ila naona wameamua kuwaacha wanasiasa wafanye wanalotakaWananchi tusilale, Mkwere, Mzanzibari na Makamba wanataka warudishe makampuni yao ya kifisadi, ili kuhujumu uchumi wetu