Kukatika kwa umeme Kariakoo kunaifanya TANESCO waonekane wazembe

Mpinzire

JF-Expert Member
Jan 18, 2013
7,210
12,913
Leo niwaambie tu TANESCO, kuna maeneo kama ya Kariakoo ambako kuna mzunguko mkubwa sana wa kifedha ambao unaliingizia mapato taifa kwa kiasi kikubwa alafu mkawa mnakata umeme hivi ni uzembe wa hali ya juu sana.

Nina hakika hata nyinyi wenyewe kwa eneo la pamoja Tanesco mnapata pesa ndefu kariakoo nashangaa bado mmelala kwenye kuboresha miundombinhu ya umeme eneo hili kiasi mnaleta kero za kukatika umeme na mwisho wa siku shughuli za uzalishaji zinasimama.

Tanesco ni wazembe wakubwa.

TANESCO
 
Leo niwaambie tu Tanesco, kuna maeneo kama ya Kariakoo ambako kuna mzunguko mkubwa sana wa kifedha ambao unaliingizia mapato taifa kwa kiasi kikubwa alafu mkawa mnakata umeme hivi ni uzembe wa hali ya juu sana.

Nina hakika hata nyinyi wenyewe kwa eneo la pamoja Tanesco mnapata pesa ndefu kariakoo nashangaa bado mmelala kwenye kuboresha miundombinhu ya umeme eneo hili kiasi mnaleta kero za kukatika umeme na mwisho wa siku shughuli za uzalishaji zinasimama.

Tanesco ni wazembe wakubwa.

TANESCO
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA

TAARIFA YA MATENGENEZO KWENYE KITUO CHA KUPOOZWA NA KUSAMBAZA UMEME CHA ILALA

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa mkoa wa ilala kuwa siku ya leo 16/02/2020 palitokea hitilafu kwenye kituo chetu cha kupooza na kusambaza umeme cha Ilala na kusababisha baadhi ya wateja kukosa huduma ya umeme.

Hivyo, ili kuweza kufanya matengenezo ya kutatua tatizo hilo, tutazima umeme kesho tarehe 17/02/2021 kuanzia saa 04:00 asubuhi mpaka saa 06:10 mchana

Maeneo yatakayoathirika ni;
Eneo lote la POSTA, Eneo lote la kariakoo, jangwani, eneo lote la Ilala, Baadhi ya maeneo ya buguruni, Eneo lote la upanga, Eneo lote la mnazi mmoja, Muhimbili hospital, Amana Hospital, Mnazi mmoja hospital, Aga khan hospital, Ocean road hospital na maeneo ya jirani.

Shirika linaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.

Kwa msaada zaidi tafadhali piga:
0222133330 , 0784 768586- Ofisi ya mkoa wa Ilala, 0688 001071- wilaya ya Gongolamboto, 0684 001066- Wilaya ya viwanda, ( Kituo cha miito Makao makuu- 022 2194400).

Imetolewa na ;
Ofisi ya uhusiano na huduma kwa wateja- Ilala
 
Back
Top Bottom