Kukatika katika kwa umeme mkandarasi wa stigler's anadai bil18 hasara , cc Wananchi nani atatufidia, samaki kuoza, vifaa kuungua

CAG ameweka wazi kuwa tatizo kubwa la kukatika katika kwa umeme limesababisha mkandarasi anayejenga bwawa la stigler's kudai bil 18 Kama fidia ya hasara aliyoingia kutokana na TANESCO waliompa kazi kumkatia Katia umeme hivyo,

kukatwa katwa huko kwa umeme pia kumesababisha mradi kuchelewa pakubwa.

Hoja yangu ipo hapa, Kama hayo makampuni yanalipwa feza nyingi kutokana na madhila ya kukatika umeme je cc Wananchi ambao ndo tumeathirika pakubwa mno na mkatiko huo wa umeme ikiwemo, samaki kuoza, vifaa vya umeme kuungua, kulipa Kodi huku tunashindwa kuzalisha, kusimama uzalishaji. Na mengine mengi tu.

Nakuomba serikali Kama mtapampa mgeni posho ya bembelezo au athari za kukatika umeme na sisi Wananchi tunataka hiyo penalti mtulipe kwakushindwa kutupa umeme Kama mkataba baina yetu Kama wateja na TANESCO unavyotaka.

Lazma mtulipe, mabeberu mnawalipa hasara zao sisi je
Siyo 18b ni 19.51B........hii ndiyo Tanzania bhana
IMG-20220330-WA0028.jpg
 
Mkuu huo mchongao umo
Jamaa yenu si amesema lazima umeme ukatike kwa sababu kwanza miundo mbinu mibovu, haiwezi kuendana na uwezo kulingana na eneo.

Mwisho juzi hapo akasema, lazima mkubali mabadiriko na au ni kwa sababu ya uwaziri wake au nafasi ya bimkubwa!.

Aya sasa akalipe hilo deni maana linamuhusu moja kwa moja!.
 
CAG ameweka wazi kuwa tatizo kubwa la kukatika katika kwa umeme limesababisha mkandarasi anayejenga bwawa la stigler's kudai bil 18 Kama fidia ya hasara aliyoingia kutokana na TANESCO waliompa kazi kumkatia Katia umeme hivyo,

kukatwa katwa huko kwa umeme pia kumesababisha mradi kuchelewa pakubwa.

Hoja yangu ipo hapa, Kama hayo makampuni yanalipwa feza nyingi kutokana na madhila ya kukatika umeme je cc Wananchi ambao ndo tumeathirika pakubwa mno na mkatiko huo wa umeme ikiwemo, samaki kuoza, vifaa vya umeme kuungua, kulipa Kodi huku tunashindwa kuzalisha, kusimama uzalishaji. Na mengine mengi tu.

Nakuomba serikali Kama mtapampa mgeni posho ya bembelezo au athari za kukatika umeme na sisi Wananchi tunataka hiyo penalti mtulipe kwakushindwa kutupa umeme Kama mkataba baina yetu Kama wateja na TANESCO unavyotaka.

Lazma mtulipe, mabeberu mnawalipa hasara zao sisi je
Mbona umepunguza uzito wa habari. Ni kukatika kwa umeme kipindi cha January 2020 mpaka October 2020. Wakati nchi ikiwa chini ya mzalendo namba moja
 
Hivi tupu binadamu tuna ukomo wa kuishi ,yaani mtu akiishi kwa kujiweza na nguvu basi miaka 80, hivi hao msoga gang mahela waliyoiba hayajatosha tu?
Binadamu tulivyo na tamaa tungekuwa tunaishi miaka 200 tu sijui ingekuwaje.
Bahati mbaya miaka 80 tu unakuwa hoi na mahela yako ya wizi hayakusaidii.
 
Lakini mbona zinasema umeme kukatika katika january 2020 hadi october 2020 kipindi ambacho bado utawala wa mwenzake ulikua kwenye uongozi.

Ila humu naona lawama kama za juzi hivi
 
Ok huko kukatika umeme tuwekewe tarehe zote na gharama ili kila mtu abebe zigo lake awe hai au kafa
 
Kwani hiyo mikataba hawajuweka vipengele vya kumtaka mkandarasi awe na emergency generator
Hata Mimi nashangaa hii kitu. Sidhani kama mleta mada ni mkweli. Mkandarasi anapoexecute mradi kwanza siyo lazima ategemee umeme wa Tanesco. Costing ya power alishaweka kwenye gharana ya mradi, iwe umeme wa Tanesco, solar energy au generators. Kwa hiyo hata kama TANESCO imkatie umeme mwaka mzima yeye atajua mradi anakamilishaje.
 
CAG ameweka wazi kuwa tatizo kubwa la kukatika katika kwa umeme limesababisha mkandarasi anayejenga bwawa la stigler's kudai bil 18 Kama fidia ya hasara aliyoingia kutokana na TANESCO waliompa kazi kumkatia Katia umeme hivyo,

kukatwa katwa huko kwa umeme pia kumesababisha mradi kuchelewa pakubwa.

Hoja yangu ipo hapa, Kama hayo makampuni yanalipwa feza nyingi kutokana na madhila ya kukatika umeme je cc Wananchi ambao ndo tumeathirika pakubwa mno na mkatiko huo wa umeme ikiwemo, samaki kuoza, vifaa vya umeme kuungua, kulipa Kodi huku tunashindwa kuzalisha, kusimama uzalishaji. Na mengine mengi tu.

Nakuomba serikali Kama mtapampa mgeni posho ya bembelezo au athari za kukatika umeme na sisi Wananchi tunataka hiyo penalti mtulipe kwakushindwa kutupa umeme Kama mkataba baina yetu Kama wateja na TANESCO unavyotaka.

Lazma mtulipe, mabeberu mnawalipa hasara zao sisi je
Tatizo ni kwamba Tanesco hawana mkataba na wateja wadogo kama wewe. Ila kama wange kuwa professional walitakiwa kuwa na ratiba ya mgao. Sijui nini kinawashinda Kuja na ratiba.
 
Mbona umepunguza uzito wa habari. Ni kukatika kwa umeme kipindi cha January 2020 mpaka October 2020. Wakati nchi ikiwa chini ya mzalendo namba moja
Bobu nikueleze tu umeme umekatika sana tangu dada Samia aingie kuliko wakati wa Magu, so wamefanya censoring ya habari, inawezekana wanatudai sana wakati huu sema hawataku kumuexpose mama
 
Mzee wa matengenezo alipigia hesabu na gharama hizi za kumkatia umeme mkandarasi?

January alishafeli kabla hajateuliwa uwaziri wa Nishati, ... Msitegemee maajabu toka kwake.
 
Nakuomba serikali Kama mtapampa mgeni posho ya bembelezo au athari za kukatika umeme na sisi Wananchi tunataka hiyo penalti mtulipe kwakushindwa kutupa umeme Kama mkataba baina yetu Kama wateja na TANESCO unavyotaka.
Kwa kuwa mkataba wenu na tanesco unataka hivyo, basi mna haki ya kisheria kuwashitaki tanesco ili wawalipe fidia kwa kuvunja makubaliano ya mkataba.
 
Lakini mbona zinasema umeme kukatika katika january 2020 hadi october 2020 kipindi ambacho bado utawala wa mwenzake ulikua kwenye uongozi.

Ila humu naona lawama kama za juzi hivi
CAG anafanya propaganda mbaya sana.

Huyu mtu is unethical sijui kwanini mamlaka zinarely na mtu wa aina hii.

Hata kama anafanya kwa manufaa flani ila bado sio wa kumuamini at such highest position katuka ukaguzi wa fedha za nchi yetu.

Sisi wananchi hatuna imani na ripoti zake.
 
CAG anafanya propaganda mbaya sana.

Huyu mtu is unethical sijui kwanini mamlaka zinarely na mtu wa aina hii.

Hata kama anafanya kwa manufaa flani ila bado sio wa kumuamini at such highest position katuka ukaguzi wa fedha za nchi yetu.

Sisi wananchi hatuna imani na ripoti zake.
Sasa hivi anachofanya ni kumchafua Magu na kuficha mapungufu ya mama, mama akuondoka CAG ataanza kuonesha mapungufu yake, nchi ya kinafiki hii
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom