Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
- Thread starter
- #61
I hate to burst your bubble... DAWASA wamewarudishia maji JWTZ.. ilikuwa ni "misunderstanding"...
ni upuuzi, jeshi linakatiwa maji linaenda kupiga wafanyakazi wa dawasa!
haingii akilini kabisa, kuwa hao ndio tuliowapa dhamana ya usalama wetu, watu wenye kututisha sisi wenyewe. naona wamesahau kuwa ujeshi ni kazi kama nyengine.
unafikiri kulikuwa na misunderstanging? my take, dawasa imelazimishwa kufungua maji na serikali, isitoshe baada kupigwa na majeshi kwa wafanyakazi wake, hata ungekuwa wewe mkubwa wa dawasa ungesema na wafunguliwe maji.
I hate to burst your bubble... DAWASA wamewarudishia maji JWTZ.. ilikuwa ni "misunderstanding"...
wewe una amini kama ni kweli ilikuwa misunderstanding?? dawasa wamebanwa "korodani" wameamua kukubali yaishe!! halafu siku kampuni ikifa, wewe ndio utakuwa wa kwanza kupiga makelele.
jaribu kuniwazia nini nitafanya!!
kila kitu kwako wewe ni mashindano!!!!! hili suala ni la kulipa bills, sasa kama wewe unaona vinginevyo haya.................sina haja ya kufikiria kwa niaba yako, kwani umesahau kuwa wewe ni "Genius/Nyerere" wa JF??!!!...........JWTZ wawe wanapata huduma zooooooooooote bure, kwasababu wao ni wanajeshi.!!!!!!
kila kitu kwako wewe ni mashindano!!!!! hili suala ni la kulipa bills, sasa kama wewe unaona vinginevyo haya.................sina haja ya kufikiria kwa niaba yako, kwani umesahau kuwa wewe ni "Genius/Nyerere" wa JF??!!!...........JWTZ wawe wanapata huduma zooooooooooote bure, kwasababu wao ni wanajeshi.!!!!!!
Mkuu, kweli kulikuwa na haja ya ku'personalise' ishu hii? Imeshindikana kweli kushindana kwa hoja ili sisi wengine tuelimishwe?
Pick your battles! It was un necessary for Dawasco to storm Jeshi ground to cut off the water supply period! same with the way they have been cutting mabomba ya watu!
tatizo la wanasiasa!! wewe unaangalia suala hili kisiasa.....mimi/sisi tunaangalia ktk angle ya common sense na business. common sense hapa ni kwamba unalipa bills kama itakiwavyo(hakuna stories), huo ulikuwa wajibu wa JWTZ. Kiabiashara ni kuwa, yes ninyi ni JWTZ, ni ndugu zetu na walinzi wetu...lakini biashara hii ya maji hailijui hilo!!!! Pesa mbele, hakuna pesa, hakuna huduma!!.