omujubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 4,325
- 2,498
Habarini wanajf
Kwa habari zilizokuwepo ni kuwa kumekuwa na utaratibu wa shule ya Sekondari Minaki kufanya ziara za kujifunza Uingereza kwa miaka kadhaa ambapo kuna shule wanayobadlishana nayo kwa wanafunzi wake pia kuja Tanzania kwa madhumuni hayohayo (yaani shule rafiki).
Habari niliyosikia jana ni kuwa mwaka huu wanafunzi wa Tanzania wameshindwa kwenda Uingereza kwa sababu ya kukosa visa. Hii imepelekea walimu wao (maofisa) tu kwenda na wanafunzi kuishia Nairobi. (Sikuwa nime note kuwa viza za UK sasa zinachukuliwa Nairobi!)
Kwa mujibu wa mahojiano ni kuwa wanaogopa kuwapa viza hao wanafunzi ili wasije kuzamia huko badala ya kurudi TZ.
My take:
Hivi inawezekana hawa Wazungu wamepoteza imani nasi kwa kiasi hiki!???? Kwa wanaojua kwa undani juu ya hii incidence iliyobeba aibu kwa nchi yetu tafadhali atujuze.
Nawasilisha
Source: bbc radio – matangazo ya jana jioni
Kwa habari zilizokuwepo ni kuwa kumekuwa na utaratibu wa shule ya Sekondari Minaki kufanya ziara za kujifunza Uingereza kwa miaka kadhaa ambapo kuna shule wanayobadlishana nayo kwa wanafunzi wake pia kuja Tanzania kwa madhumuni hayohayo (yaani shule rafiki).
Habari niliyosikia jana ni kuwa mwaka huu wanafunzi wa Tanzania wameshindwa kwenda Uingereza kwa sababu ya kukosa visa. Hii imepelekea walimu wao (maofisa) tu kwenda na wanafunzi kuishia Nairobi. (Sikuwa nime note kuwa viza za UK sasa zinachukuliwa Nairobi!)
Kwa mujibu wa mahojiano ni kuwa wanaogopa kuwapa viza hao wanafunzi ili wasije kuzamia huko badala ya kurudi TZ.
My take:
Hivi inawezekana hawa Wazungu wamepoteza imani nasi kwa kiasi hiki!???? Kwa wanaojua kwa undani juu ya hii incidence iliyobeba aibu kwa nchi yetu tafadhali atujuze.
Nawasilisha
Source: bbc radio – matangazo ya jana jioni