Hoshea
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 5,415
- 3,761
Acheni kukuza mambo, waliomkataa ni hao waliojificha Rwanda waliotaka kupindua serikali, sababu amewaita wehu na hawataruhusiwa kushiriki kwenye meza ya mazungumzo, na ni kweli Nkurunzinza alishinda kwa kura nyingi zaidi.
Juzi juzi hapa walitaka kumuua msemaji wa Nkurunzinza, wakaua bodyguard wake, watu kama hao ndio wawekwe kwenye mazungumzo, wa kazi gani, wabongo mnapenda complain nonsense sana lately, tuacheni siasa kwenye kila kitu
Juzi juzi hapa walitaka kumuua msemaji wa Nkurunzinza, wakaua bodyguard wake, watu kama hao ndio wawekwe kwenye mazungumzo, wa kazi gani, wabongo mnapenda complain nonsense sana lately, tuacheni siasa kwenye kila kitu