Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,758
- 14,687
Nipo hapa nasoma Biblia kitabu cha Esther. Kwa wale wakristo najua mnamjua Malkia Esther. Nilichojifunza Kwa huyu Bindada kikubwa kabisa NI "alikuwa Bingwa WA kukata Mauno" Imagine mabikra wooote walioitwa Kwa Mfalme yeye akawapita wote
Wanaume mtanielewa na kukubaliana Nami kuwa wanawake Wana utamu tofauti tofauti na mpaka mwanaume amekukubali na kukuita malkia wake WA nguvu na kukuweka ndani kama MKE ina maana, umemchizisha kwenye Mauno 🏃🏃🏃🏃🏃
Kwahiyo naomba twende Sawa wale TUNAOENDA Mbinguni siku si nyingi kwamba, kukata Mauno Kwa Mpenzi wako sio dhambi hasa ukiwa ndani ya NDOA 🙏
Unatakiwa ukate Mauno kuliko Beyonce, Jezebel, Shakira, Rihanna, Danga, Malaya
Kama haujui mwombe Mungu akupe Mbinu za kukata Mauno maana yeye ndio mwanzilishi WA NDOA Duniani.
Shughuli inakuja pale unapokutana na Muhogo au mguu WA mbwa, SA sijui Nani atakusaidia, sijui utaita Mama au?! 🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Bado naendelea kusoma Siri za Delilah aliemchanganya Samsoni mpaka akatoa Siri yake alopewa na Mungu, mimi najua NI Mauno Tu yalimchanganya Samsoni mpaka akatoa Siri, wewe unaonaje mpenzi msomaji?!
Wanaume mtanielewa na kukubaliana Nami kuwa wanawake Wana utamu tofauti tofauti na mpaka mwanaume amekukubali na kukuita malkia wake WA nguvu na kukuweka ndani kama MKE ina maana, umemchizisha kwenye Mauno 🏃🏃🏃🏃🏃
Kwahiyo naomba twende Sawa wale TUNAOENDA Mbinguni siku si nyingi kwamba, kukata Mauno Kwa Mpenzi wako sio dhambi hasa ukiwa ndani ya NDOA 🙏
Unatakiwa ukate Mauno kuliko Beyonce, Jezebel, Shakira, Rihanna, Danga, Malaya
Kama haujui mwombe Mungu akupe Mbinu za kukata Mauno maana yeye ndio mwanzilishi WA NDOA Duniani.
Shughuli inakuja pale unapokutana na Muhogo au mguu WA mbwa, SA sijui Nani atakusaidia, sijui utaita Mama au?! 🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Bado naendelea kusoma Siri za Delilah aliemchanganya Samsoni mpaka akatoa Siri yake alopewa na Mungu, mimi najua NI Mauno Tu yalimchanganya Samsoni mpaka akatoa Siri, wewe unaonaje mpenzi msomaji?!