KUKANUSHA UPOTOSHAJI WA MTU ANAYEJIITA ABDUL NONDO KUHUSU CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE

Mwakikusi

Member
Jan 14, 2014
98
22
Ndugu wana jumuiya wa chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere na wadau wote wanaohusika,kumekuwa na habari ya upotoshaji iliyotolewa na mtu anayeitwa Abdul Omary Nondo kwamba chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kimenyang'anya haki za wanafunzi, habari hizo si ZA KWELI kwa sababu Abdul Nondo siyo mwanafunzi wa hapa chuoni kwetu na pia siyo msemaji wa chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kwa maana hiyo hahusiki na lolote kwa lolote na hatambuliki chuoni ni MPOTOSHAJI TU.Masuala yote aliyoyaongea yana ufumbuzi wake na wahusika walishaambiwa namna na kwa sababu gani imetakiwa iwe kwa mujibu wa changamoto walizozipata hao wanafunzi na SI VILE ALIVYOANDIKA ANAYEJIITA ABDUL NONDO,na mengi yaliyojadiliwa ni kwa sababu na kwa faida ya wanafunzi husika ili vyeti vyao viwe salama (authentic) hakuna yeyote aliyeliongea au kujadili kwa minajili ya kuwaharibia maisha ya kitaaluma ya wanafunzi husika. *HIVYO HABARI HIZO NI UONGO NA UZUSHI NA KWA WAHUSIKA WANAOHUSIKA WAMESHAPEWA SABABU INDIVIDUALLY HATA HUYO NONDO HAKUWEPO NA HAJUI LOLOTE* NA TUNAMTAKA AACHE MARA MOJA KUFUATILIA NA KUANDIKA HABARI AMBAZO HAZIFAHAMU NA HAHUSIKI NAZO,TAASISI YA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE HAIJAANZA NA HATUPO TAYARI KUSINGIZIWA VITU AU MAMBO AMBAYO YATAZOROTESHA USTAWI WA CHUO CHETU.TUPO IMARA HATUTATIKISIKA WALA KUYUMBA.
*HIVYO HABARI YOYOTE YA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE MSEMAJI MKUU KWA UPANDE WA UTAWALA WA CHUO NI MKUU WA CHUO PEKEE NA KWA UPANDE WA SERIKALI YA WANAFUNZI NI RAIS WA SERIKALI YA WANAFUNZI (MASO) NA SI VINGINEVYO PIA APUUZWE KABISA MTU AWAYE YEYOTE AMBAYE KWA MATAKWA YAKE BINAFSI AU KIKUNDI ANATAMANI AU KUHITAJI KUHARIBU USTAWI WA CHUO CHETU*

TUNASIMAMIA UONGOZI,MAADILI NA UTAWALA BORA KILA KITU/MTU ATAFUATA UTARATIBU HUSIKA NA UKIWA NA LOLOTE ULIZA WAHUSIKA AU TEMBELEA www.mnma.ac.tz kwa mawasiliano zaidi na siyo akina ABDUL NONDO.

RAIS WA SERIKALI YA WANAFUNZI CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE(MASO).
2018/2019


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm nkadhani umekuja kukanusha tuhuma hizo kumbe umekuja kumshambulia Nondo na nondo yake aliyotuletea. Umekurupuka bila kuja na hoja mahususi, Basi chuo chenu uongozi wake ni majipu
 
Ndugu wana jumuiya wa chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere na wadau wote wanaohusika,kumekuwa na habari ya upotoshaji iliyotolewa na mtu anayeitwa Abdul Omary Nondo kwamba chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kimenyang'anya haki za wanafunzi, habari hizo si ZA KWELI kwa sababu Abdul Nondo siyo mwanafunzi wa hapa chuoni kwetu na pia siyo msemaji wa chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kwa maana hiyo hahusiki na lolote kwa lolote na hatambuliki chuoni ni MPOTOSHAJI TU.Masuala yote aliyoyaongea yana ufumbuzi wake na wahusika walishaambiwa namna na kwa sababu gani imetakiwa iwe kwa mujibu wa changamoto walizozipata hao wanafunzi na SI VILE ALIVYOANDIKA ANAYEJIITA ABDUL NONDO,na mengi yaliyojadiliwa ni kwa sababu na kwa faida ya wanafunzi husika ili vyeti vyao viwe salama (authentic) hakuna yeyote aliyeliongea au kujadili kwa minajili ya kuwaharibia maisha ya kitaaluma ya wanafunzi husika. *HIVYO HABARI HIZO NI UONGO NA UZUSHI NA KWA WAHUSIKA WANAOHUSIKA WAMESHAPEWA SABABU INDIVIDUALLY HATA HUYO NONDO HAKUWEPO NA HAJUI LOLOTE* NA TUNAMTAKA AACHE MARA MOJA KUFUATILIA NA KUANDIKA HABARI AMBAZO HAZIFAHAMU NA HAHUSIKI NAZO,TAASISI YA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE HAIJAANZA NA HATUPO TAYARI KUSINGIZIWA VITU AU MAMBO AMBAYO YATAZOROTESHA USTAWI WA CHUO CHETU.TUPO IMARA HATUTATIKISIKA WALA KUYUMBA.
*HIVYO HABARI YOYOTE YA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE MSEMAJI MKUU KWA UPANDE WA UTAWALA WA CHUO NI MKUU WA CHUO PEKEE NA KWA UPANDE WA SERIKALI YA WANAFUNZI NI RAIS WA SERIKALI YA WANAFUNZI (MASO) NA SI VINGINEVYO PIA APUUZWE KABISA MTU AWAYE YEYOTE AMBAYE KWA MATAKWA YAKE BINAFSI AU KIKUNDI ANATAMANI AU KUHITAJI KUHARIBU USTAWI WA CHUO CHETU*

TUNASIMAMIA UONGOZI,MAADILI NA UTAWALA BORA KILA KITU/MTU ATAFUATA UTARATIBU HUSIKA NA UKIWA NA LOLOTE ULIZA WAHUSIKA AU TEMBELEA www.mnma.ac.tz kwa mawasiliano zaidi na siyo akina ABDUL NONDO.

RAIS WA SERIKALI YA WANAFUNZI CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE(MASO).
2018/2019


Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu atakuwa fisiem

Sent using Jamii Forums mobile app
 
habari hizo si ZA KWELI kwa sababu Abdul Nondo siyo mwanafunzi wa hapa chuoni kwetu na pia siyo msemaji wa chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kwa maana hiyo hahusiki na lolote kwa lolote na hatambuliki chuoni ni MPOTOSHAJI TU.
Ni kweli Abdul sio mwanafunzi wa hapo na si msemaji wa hicho chuo, lakini hii haiwezi kuwa sababu ya kumuita mpotoshaji au muongo. Halafu Abdul ameanisha hayo aliyo yaona ni matatizo ningetegemea wewe utuambie uwongo au upotoshaji wake uko wapi badala ya kukimbilia kumuita mptoshaji na hakuna mahali kwenye bandiko lako ulipo onyesha ni wapi anatulisha matango pori. Sina nia ya kumtetea Abdul na anaweza akawa hayuko sahii lakini ni vizuri tufahamu kinacho endelea. Jinsi ulivyojibu ningekuwa mwandishi wa habari ningependa kujua ni nini kinaendelea huko.
Kumeanza kuwa na tabia ya ajabu ya viongozi wa wanafunzi kuficha mambo. Juzi juzi iliandikwa humu kuhusu wanafunzi wa SUA wanavyo banana lakini uongozi wao ukawaonya hali hiyo isisemwe nje ya chuo na atakae toa taarifa hiyo hata pata ulinzi wa chama cha wanafunzi.
 
Nimegundua kuna wakat kua wakwanza usishangilie jiulize umekua wakwanza ktk kundi.la wanafunzi wa aina gan..ni vilaza au lah.


Kama Urais wenyewe ndo huu. Basi unaowaongoza wana hali mbaya sana kichwan.

The Devil puts a spoonful of honey into neighbor's Wife
 
Haya ,Mh.Rais wa wanafunzi,Mimi mpotoshaji ila tatizo ulilosema Nina potosha limetatuliwa leo tar 8/April /2019.

Alafu ukimaliza utajiita Rais Mstaafu ! Rais mstafu wa miti au wa wanafunzi?
IMG-20190408-WA0038.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa alivyojichanganya inaonekana nondo anazo hoja.
Mm nkadhani umekuja kukanusha tuhuma hizo kumbe umekuja kumshambulia Nondo na nondo yake aliyotuletea. Umekurupuka bila kuja na hoja mahususi, Basi chuo chenu uongozi wake ni majipu

USOGA WI KUA KATI MWINA NSONGOO
 
Rais gani huna hata writing skills? Unaandika ukiwa umepaniki badala ya kuface hoja.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom