Hao ni "toothless dogs"Wameitaka imfikishe mahakamani haraka au imwachie huru bila masharti kuliko kuendelea kumshikilia bila maelezo ya msingi.
View attachment 918643
Siku ukikamatwa bila hatia utakumbuka mashirika kama haya yanayojaribu angalau kutetea watu. Ukishikwa na polisi unatakiwa uambiwe kosa na upewe evidence la si hivyo kiongozi yoyote akikuchukia atakua anakuweka ndani tu anavyojisikia alafu unaachiwa mwisho wa siku huna pa kulalamika.Hao ni "toothless dogs"
Wangeanza kuwatetea maelfu ya watu wanaoshikiliwa kwenye Gereza la Guantanamo kwanza.Wameitaka imfikishe mahakamani haraka au imwachie huru bila masharti kuliko kuendelea kumshikilia bila maelezo ya msingi.
View attachment 918643
kafika kwani kaandika yeye? wewe mbona akili yako ndogo hivi? hiyo ni mikataba tuliyoridhia acha ujinga wa kihalaiki wewe kijanaHapo Zitto ndio anajiona kafika.
Wewe dogo kaa kimya.kafika kwani kaandika yeye? wewe mbona akili yako ndogo hivi? hiyo ni mikataba tuliyoridhia acha ujinga wa kihalaiki wewe kijana
Kuna siku "Mungu" ataninginizwa ICC,Hapo Zitto ndio anajiona kafika.
Hizi ni ndoto za mchana kweupe.Kuna siku "Mungu" ataninginizwa ICC,
TAKBIIIR!Wangeanza kuwatetea maelfu ya watu wanaoshikiliwa kwenye Gereza la Guantanamo kwanza.