Mdau
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,789
- 470
Amenishangaza sana huyu mbunge, ambaye kimsingi wana-Mbeya walitaraji kwamba atakua mkombozi wao....sasa mambo ya ugomvi wa mademu, Clouds FM, Fiesta anapeleka kwa wananchi!!!? Matatizo ya msingi ni hayo? Kwenye kampeni alikua kila siku anapiga kelele kwamba eti akiingia atauza gari la mkuu wa mkoa, kanunua zuri kuliko hilo....kakamatwa, lakini hamna nguvu ya umma kumtetea...CHADEMA mnatakiwa mjaribu kum-contain huyu bwana, otherwise aibu inawasubiri uchaguzi wa 2015 msipokua makini....