Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,090
Asante nduguNimeona nimuache tu maana sio kwa panick ile. Mimi nimkristolakini niliposoma ule waraka na hoja zake niliona kuna tatizo la msingi ambalo serikali inatakiwa kulifanyia kazi, hawa wenzagnu hawaoni tatizo.
Wewe ni mtu mwema