Kukamatwa kwa Sheikh Ponda na fursa ya kuwaunganisha Waislamu

Umekaa na kutafuta namna ya kutoka kimaisha umeona umefeli huu ndio ushuzi unakuja kuandika hapa ili upate sapoti ya magaidi wenzako....?!

Kwa taarifa yako radicalism ni ugonjwa wa akili na wewe umeashaanza kukupata. Usidhani utaishia hapo. Leo unasema waislam wanadhurumiwa kesho hata ukaachiwa hii inchi yote hii na wapuuzi wenzako mnaofanania akili na maoni na mawazo utadhani hata mnajua nini maana ya uislam na dini imetokea wapi.............. Mtaendeleza roho chafu ya chuki dhidi ya wengine tena wakufanana nao dini kabisa..... Kesho utasema waislam wa kigoma sio watu wazuri bali wazuri ni waislam wa tanga sababu ya tabia ile ile ya chuki, choyo, ubinafsi na roho mbaya dhidi ya wengine.........

Kuna watanzania kibao wanaishi huko vijijini hawana dini wala hawajui nini maana ya dini yoyote, hao nao wadai wana waraka wa kutoa kusema hawana nafasi katika shughuli za serikali.....

Omba sana MUNGU roho chafu ya kuchukia binadamu wengine ikutoke. Hapo hautetei maagizo ya MUNGU wala uislam, wewe ni hasidi na mfitini uliyejificha nyuma ya dini na roho yako chafu ya ahera inakuita ndio maana unaongea upuuzi kama huu umeandika hapa.

MUNGU akusaidie akili yako chafu isafishike ukae ukijua kuwa huwezi kubagua ukamaliza utanendelea hadi mwisho wako maisha na kizazi chako utakiachia misala ya ubaguzi.

Kabla haujajitambua kwa dini,taifa, kabla haujajitambua kwa kabila au kanda unayotokea kaa ukijua wewe ni mwanadamu kwanza kabla ya yote na baada ya hapo wewe ni mwafrika, halafu ni wa jinsia fulani, hayo mengine ni ya ziada......

Roho mbaya tu shenzi wahedi wewe.....
Hawa watu ni wapumbavu sana aisee! Wanaifahamu kabisa historia lakini wamechagua UPUUZI na propaganda za KIJUHA na kuvibatiza jina la ukweli, wamebaki kujazana CHUKI tu. Wamisionari walikuja na SHULE wengine wakaja na madrassa. No wonder kule kwingine wenzao waliposhindwa kubaini adui ni UJINGA na UMBUMBUMBU uliokithiri miongoni mwao kutokana na sababu dhahiri za kihistoria, wakasema adui ni hii elimu waliyoleta wazungu. Wakaja na Boko Haram kupigana na "adui" huyo.
 
Kuna watu wanaishi kama vipofu wa akili,hivi hawaoni huu utawala ulivyojaa ubaguzi,dhuluma na mengine tunashindwa hata kusema na wao mashahidi.Ukiangalia shekhe ponda amegusia makundi yote mpaka vyama vinavyonyimwa haki, Labda ukiona mtu anapinga Huyo ni Mkristo na CCM kwani ndiyo wanufaika wakubwa wa huu mfumo
 
Hongera sana mleta mada, huu uzi wako ni ukweli mtupu
Waislamu Majority wanakubaliana na uliyoandika na wako na Sheikh Ponda

Achana na hawa ambao wanakukejeli, wanakutukana, hii ni kwa sababu wapo katika mfumo wa dhulma, wananufaika na mfumo huu kwa sababu unawapendelea na kuwakandamiza waislamu.

Kwa hiyo, matusi, Kejeli, na vijembe vyao ni mbinu tu ya kuwawakatisha tamaa msidai haki yenu.

Mfumo unawabeba na kuwanufaisha wao zaidi!

Waislamu wako kimya lakini wanafuatilia hali ya nchi yao very closely
Umenena vyema mkuu,,,
 
Nimefurahi kuona kuwa CV yako si mbaya kivile. Yaani kumbe weye ni msomi hadi chuo kikuu au ulienda choo kikuukuu! Mbona umeonyesha kuwa ulisoma kipindi cha tawala hizo hizo za ubaguzi na ukandamizi? Nadhani uko vizuri sana ila muislam safi ukiisha mpa mke na ruksa ya kwenda hija nadhani hapo yeye anaridhika. Tumebahatika kuwapata viongozi wawili kuongoza nao ni waislamu. Kama ungeweza eleza mipango yao mizuri ya kuwainueni ilokuja haribiwa na mfumo Kristu nadhani ingekuwa vizuri. Mlipewa hata majengo ya Tanesco mfanye vyuo lakini wapi. Mkuu, we acha tu hadithi za kusadikika hizo
Unajua hata kwenye ukoo ndugu wale tegemezi ndio huwa wanaanza kelele za kugombania mali. Sababu hawana wanalojua kuhusu maisha ya utafutaji.
 
Mkuu katika jamii kuna makundi hitaji (interest groups) mbalimbali. Kila kundi lina mahitaji kulingana na mwelekeo na malengo yake. Kuna makundi ya akina mama,siasa,uchumi,jamii n.k

Kama ni kweli unasema hauko biased na dini au kama sio mnufaika na kinachosemwa,nadhani ungeelewa zaidi anachodai Sheikh Ponda. Sheikh Ponda ni sehemu ndogo tu ya sauti zilizopo nyuma. Ni Bora ya huyu amelisema kuliko waliokaa kimya.

Kimsingi mamlaka za uteuzi na Serikali hazina budi kubalance teuzi zake kwa kuangalia uwiano Watanzania kikanda,kikabila,kijinsia na kidini. Nyerere alishawahi mshauri Mkapa juu ya hili. Kikwete alilifanya hili.

Kigezo Cha kwamba udini au ukanda usitumike katika uteuzi ni kichaka kingine kinachotumika na wanaoamini itikadi na sera za kibaguzi wa kidini,kikabila na kidini as long as wananufaika na sera hizo.
Ukisema akina mama ina maana ni wote haijalishi wanaimani gani sababu watakuwa wanapitia shida moja.......

Dini haujawahi na wala haitaweza kuwa focus group ya taifa kama Tanzania. Sababu ndani ya dini unakutana na makundi yala yale ya dini moja kwenda nyingine.....
 
Hakuna mkristo aina yako, maana shule za serikali sijawahi ona wakasema wakristo darasa lao hili na waislamu hili wote tumesoma pamoja kila mtu alitoka na.alichopata darasani
Ona unabisha kuwa mimi sio mkristo, haya basi nipe wewe dini unayotaka.Malalamiko yao ni kuwa kuna upendeleo katika nafasi za serikalini, wametoa ulinganifu wa baadhi ya viongozi mbalimbali kwamba hakuna uwiano. Hilo ni jukumu ;la serikali kulifanyia kazi sio mimi na wewe na pia watu wanapolalamika ni vyema ukawasikiliza malalamiko yao na sio kusema hakuna tatizo wakati lipo.
 
Ona unabisha kuwa mimi sio mkristo, haya basi nipe wewe dini unayotaka.Malalamiko yao ni kuwa kuna upendeleo katika nafasi za serikalini, wametoa ulinganifu wa baadhi ya viongozi mbalimbali kwamba hakuna uwiano. Hilo ni jukumu ;la serikali kulifanyia kazi sio mimi na wewe na pia watu wanapolalamika ni vyema ukawasikiliza malalamiko yao na sio kusema hakuna tatizo wakati lipo.
Kwahiyo unataka ulinganifu hata kama watu hawana vigezo? Si kuna wakati walichaguliwa watu kwa ajili ya mafunzo ya kama sikosei gas wakaanza lulalamika wakajulishwa mwenye vigezo hivi ndiye anahitajika sasa hapo ulitaka wafanye nini!Kwanini msiwahimize huko chini wanako anza elimu?
 
Hebu jenga hiyo hoja hapa nilistie hayo matatizo. Mtu anakwambia waislam wanabaniwa elimu. Me nikitazama ninawashkaji kibao tumepiga nao shule na wengine wameniacha..... Ni wapi huwa wanabaniwa....?!
Waraka umezungumzia uwiano wa uteuzi ambao ni 80% kwa 20% wewe kwa mtazamo wako unaona hilo jambo ni sawa, lakini kiuhakisi hilo ni tatizo kwa kuwa kuna utofauti mkubwa sana hapo. kama umewahi kufanya tafiti unaweza kunielewa namaanisha nini ila ukiweka mihemko mbele nadhani tutakesha, kuhusu hao wahsikaji zako hilo ni tatizo lako binafsi halina tija kwa taifa. Kinachozungumziwa katika warak uwiano wa kidini na kikaknda pia lazima ulifaham hilo. Na hili ndilo alilofanya Nyerere kuepuka kuvuruga amani ya nchi na ikapeleka kuwa na amanina mshikamamno
 
Kwahiyo unataka ulinganifu hata kama watu hawana vigezo? Si kuna wakati walichaguliwa watu kwa ajili ya mafunzo ya kama sikosei gas wakaanza lulalamika wakajulishwa mwenye vigezo hivi ndiye anahitajika sasa hapo ulitaka wafanye nini!Kwanini msiwahimize huko chini wanako anza elimu?
Unataka kusema kwamba waislam hawana vigezo?Upo serious kweli mzee?
 
Unataka kusema kwamba waislam hawana vigezo?Upo serious kweli mzee?
Kwani wewe unamatatizo yakutokuelewa eeee embu soma tena kama niteuzi unataka wawe wana balance kwa minajili ya dini? Hapa Tanzania kuna dini 2 tu? Kwaheri nazani sita quote tena
 
Kwani wewe unamatatizo yakutokuelewa eeee embu soma tena kama niteuzi unataka wawe wana balance kwa minajili ya dini? Hapa Tanzania kuna dini 2 tu? Kwaheri nazani sita quote tena
Mwenye matatizo wewe
Kama umepitia waraka na umeuelewa utajua wana madai ya msingi. Vizuri kama hutaniquote.
 
Mwenye matatizo wewe
Kama umepitia waraka na umeuelewa utajua wana madai ya msingi. Vizuri kama hutaniquote.
Waraka kitu gani uzushi tu mwambie aende kunalance huku mashuleni kuanzia chekechea wakifika STD 7 akapige tena hesabu na secondary -chuo, ndiyo alete karatasi zake.
 
Magufuli asipoteua watu wa kanda fulani kwa wingi, kuna watu wanapiga kelele za Ukabila na wala hawanyosheani vidole, wala kutoleana maneno ya kejeli, vijembe wala matusi

Lakini akiteua watu wa dini yao kwa wingi sana halafu wengine wakalalamika, wale jamaa waliokuwa wakilia Ukabila utawaona kimyaaaa! na hawa ndo huanza kushambulia wanaotengwa kuwa msizungumze zungumze mambo ya dini.

Sasa swali ni je, kama ulikemea uteuzi kwa misingi ya ukanda na ukabila kwa nini iwe vigumu kwako kuona kuwa teuzi zinazolalia dini moja nalo ni tatizo kubwa?

Mfumo huu unaotoa privilige za kutisha kwa watu wa dini moja kuliko nyingine lazima ubomolewe, ujengwe mfumo mpya wenye kuzingatia usawa na haki kwa wote!
 
Waraka kitu gani uzushi tu mwambie aende kunalance huku mashuleni kuanzia chekechea wakifika STD 7 akapige tena hesabu na secondary -chuo, ndiyo alete karatasi zake.
Mkuu una chuki kali kweli dhidi ya waislamu.
Kwani waislamu wakitendewa haki nchini wewe utapungukiwa na nini?
 
Waraka kitu gani uzushi tu mwambie aende kunalance huku mashuleni kuanzia chekechea wakifika STD 7 akapige tena hesabu na secondary -chuo, ndiyo alete karatasi zake.
Ushapanick!
Usiku mwema
 
Mkuu una chuki kali kweli dhidi ya waislamu.
Kwani waislamu wakitendewa haki nchini wewe utapungukiwa na nini?
Nimeona nimuache tu maana sio kwa panick ile. Mimi nimkristolakini niliposoma ule waraka na hoja zake niliona kuna tatizo la msingi ambalo serikali inatakiwa kulifanyia kazi, hawa wenzagnu hawaoni tatizo.
 
Back
Top Bottom