Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,895
- 21,982
Kama wiki mbaya kwa wafanyakazi wa JULIUS NYERERE AIRPORT NI wiki hii.
kuna matukio mawili yametokea ambayo hayo ni yale tu kati ya 50 yaliyofanyika watanzania wakapata kujua nini kinaendeleaa uwanja wao wa kimataifa wa ndege......tuanze na hili la pembe za ndovu
kuna matukio mawili yametokea ambayo hayo ni yale tu kati ya 50 yaliyofanyika watanzania wakapata kujua nini kinaendeleaa uwanja wao wa kimataifa wa ndege......tuanze na hili la pembe za ndovu