Nimeshtushwa na kushangazwa sana na taarifa kwamba yule anaedhaniwa kumteka dr.ulimboka alifikishwa mahakamani fasta.Akihojiwa polisi mbele ya walinzi wa kanisa la Gwajima mtu huyo alionekana kama kichaa hvi,sasa najiuliza ni kwann jeshi la polisi limekurupuka kumfikisha mahakamani mtu kama huyo,ni dhahiri huyo kichaas hakufanya tukio hilo peke yake,iweje wakurupuke tu kumfikisha mahakamani bila kufanya utafiti wa kina na kuwabaini wahusika wengine kwa ujumla wao?