wababayangu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 814
- 1,104
NdiyoHii ina maana?
NdiyoHii ina maana?
Hatakama wako 100..hatakama sio mtz..jua ni mtu wa dini ya hakhi..Bila picha ni uzushi! BBC siyo wa kuaminiwa kivile!
ALI wapo wangapi duniani? KIPI kinathibitisha ni mtanzania??
Hii ni tetesi tu
Kumbuka hata mtu wenye nyoka nao hupondwa mawe...why islam?Siyo Uislamu ni wapiginaji wanaotumia dini ya kiislamu kumbuka mti wenye matunda ndio upigwao mawe uislam ndini safi
Hao sio waislamu wanajiita ni waislamu.Juzi hapa Dar,Kigamboni alikamatwa mtu,anaitwa John Makoye,amevyaa kanzu,kofia na begi la mkononi,akichangisha pesa,akisema anachangisha pesa za ujenzi wa msikiti,amechangisha karibia miaka mitatu,wakati kumbe sio Muislamu,ni mkatoliki,nenda you tube,ipo clip yake.Je wako wangapi kama Hawa duniani,wanaojifanya ni waislamu,na kuvyaa mavazi ya kiislamu ,kumbe sio waislamu.Uislamu umefanya dunia kuwa sio sehemu salama ya kuishi.Badala Mungu awapiganie watu,eti watu wanampigania Mungu,huyo Mungu ni wa kutiliwa shaka.
Sema vizuri...hawa ni wendawzimu wanaotumia mafundisho ya dini vibaya. Eti wanaanzisha dola ya kiislamu. Ina maana uislamu uliopo una shida mpaka huo wa kuua na kurape wanawake?Ukosefu wa ajira watu wanafanya chochote, tujitazame vijana wanaingia kwwnyw uhalifu.
Ni mwendawazimu kama wendawazimu waliokamatwa Kule MsumbijiHao sio waislamu wanajiita ni waislamu.Juzi hapa Dar,Kigamboni alikamatwa mtu,anaitwa John Makoye,amevyaa kanzu,kofia na begi la mkononi,akichangisha pesa,akisema anachangisha pesa za ujenzi wa msikiti,amechangisha karibia miaka mitatu,wakati kumbe sio Muislamu,ni mkatoliki,nenda you tube,ipo clip yake.Je wako wangapi kama Hawa duniani,wanaojifanya ni waislamu,na kuvyaa mavazi ya kiislamu ,kumbe sio waislamu.
Jibu umelipata sasa.Gadafi angewaunganisha watu wake wasingemng'oa,kosa la sadam na Gadafi ni kutegemea zaidi ulinzi wa silaha kuliko ulinzi wa utu.Walivuna waliyopanda.
Augostino Netto aliwahi kuishi hapa?Kwani tanzania si ndiyo kiwanda cha kupika na kuwaanda ‘magaidi’ ambao baadaye wakisha pindua serikali zao wanakuwa ma rais. Akina machel, M7, kabila, netto hawa woote waliku aga ‘magaidi’
Ukosefu wa ajira watu wanafanya chochote, tujitazame vijana wanaingia kwwnyw uhalifu.
Sielewi ni kwa nini tulimwachia Kagame akaenda kujimwambafai kule wakati sisi ndio majirani wa karibu, sikulielewa hili suala!Binafsi naona tz tunalo jukumu LA kuingua msumbiji na kuweka mambo sawa. Weaknesses za jeshi la msumbiji tunatakiwa kuzi supplement. Usalama wa tz haupo kabisa kama Mozambique inawaka moto.