Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Lowassa fisadi kwa miaka tisa, baada ya kununuliwa lowassa sio fisadi.kweli unafilki.utatuua watanzania
Lowassa fisadi kwa miaka tisa, baada ya kununuliwa lowassa sio fisadi.kweli unafilki.utatuua watanzania
kwahyo leo hii dr slaa ana imani na mahakama za tanzania??? si alisemaga mahakama zinatumika na ccm ila leo hii anaamini zipo huru ila wapinzani ndio hawafuati sheria????
hivi amesahau mbowe alifungua kesi mwanza ya kuomba tafsiri ya kwanni mikutano ya hadhara inazuiwa ila mwisho wa cku mahakama ikawakufanyshindi tamko la polisi!!!!
funny
kwahyo leo hii dr slaa ana imani na mahakama za tanzania??? si alisemaga mahakama zinatumika na ccm ila leo hii anaamini zipo huru ila wapinzani ndio hawafuati sheria????
hivi amesahau mbowe alifungua kesi mwanza ya kuomba tafsiri ya kwanni mikutano ya hadhara inazuiwa ila mwisho wa cku mahakama ikawakufanyshindi tamko la polisi!!!!
funny
alipokua ccm mlikua mnaona makengeza kuwa hakua fisadi sio?Lowassa fisadi kwa miaka tisa, baada ya kununuliwa lowassa sio fisadi.
Ukifikiri sana, lazima utafika kwenye conclusion yako kwa jinsi Dr. Mihogo na Le profesor Lip wanavyo behave kwa sasa.I
Ukiangalia hiyo clip kwa umakini utaona Dr. Slaa alitoa sighn flani alivyo kua akiingia ndani mpaka mwana usalama akageuka kuangalia kamwonyesha nani.
Point yangu sio kwamba anataka fanya hivi bali kashikwakubaya kwa werevu mtakua mmenielewa
Hivi umeelewa kwanni nmetumia historia kujenga hoja???Hiki unachotaka kukisema hapa ni hulka ya kufanya hukumu bila kosa kufanyika kwanza (prejudgement).Vyombo vyote vya dola kwa asili yake havijawahi partial isipokuwa mtu mmoja mmoja kwa maslahi yake au kupotoka au vinginevyo.Mahakama in stricto sense, is impartial.Kunaweza kuwa na mahakimu au majaji hapa na pale ambao huamua kuchukua upande katika mashauri kadhaa na hilo haliifanyi Mahakama kuwa kama alivyowahi kusema Dokta au unavyoamini wewe.Tatizo letu tunaathiriwa na historia.Kila kitu mbona ....imewahi kuwa hivi....! Dunia haisimami na watu "wahuni" na wasio na mshipa wa aibu katika kuonea au kudhuru wenzao wataendelea kuwepo duniani.Na hata hivi ninapoandika wamezaliwa.Wema pia wamezaliwa. Wapo hata mwisho wa dahari.Sasa huwezi kuacha kutafuta haki kisa eti imewahi kuamuliwa vinginevyo na mahakama huko nyuma.Maamuzi yoyote hasi katika jambo lolote lile ni fursa.Ni nafasi nyingine ya kupata upenyo na kufikia ndoto yetu.
kwahiyo sio tena mzee wa maandamano na matamko??? kaz kwelikweliHuyo ndiye Dr wa ukweli aliyeondoka chadema
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Anatumiaa kajinaa ganii ukoo nikaperuziiiindo kazi yake ya sasa hivi,yuko kazini,hata mkewe ukienda kule facebok kajaa michuki tu,akisikia kina mdee wako ndani posts zake ni za kushangilia,hii couple wamekua kama wachawi vile.
Ni kweli wala hatuuhitaji yeye ashughulike na yake si alituona wpuuzi sasa nini tena ushauri awape ninyiBahati mbaya kuna watu hawapendi kabisa kusikia ushauri murua kama huu.
tukumbuke Sheria inayoongoza Jeshi la Polisi ni za 1959 ( kama sikosei- sijacheki- na marekebisho madogo madogo kadhaa yakiwemo ya 2002).