Kukamatwa kwa Dkt. Mashinji na Viongozi wengine wa CHADEMA: Maoni ya Dkt. Slaa

kwahyo leo hii dr slaa ana imani na mahakama za tanzania??? si alisemaga mahakama zinatumika na ccm ila leo hii anaamini zipo huru ila wapinzani ndio hawafuati sheria????

hivi amesahau mbowe alifungua kesi mwanza ya kuomba tafsiri ya kwanni mikutano ya hadhara inazuiwa ila mwisho wa cku mahakama ikawakufanyshindi tamko la polisi!!!!

funny


Hiki unachotaka kukisema hapa ni hulka ya kufanya hukumu bila kosa kufanyika kwanza (prejudgement).Vyombo vyote vya dola kwa asili yake havijawahi partial isipokuwa mtu mmoja mmoja kwa maslahi yake au kupotoka au vinginevyo.

Mahakama in stricto sense, is impartial. Kunaweza kuwa na mahakimu au majaji hapa na pale ambao huamua kuchukua upande katika mashauri kadhaa na hilo haliifanyi Mahakama kuwa kama alivyowahi kusema Dokta au unavyoamini wewe. Tatizo letu tunaathiriwa na historia.

Kila kitu mbona ....imewahi kuwa hivi....! Dunia haisimami na watu "wahuni" na wasio na mshipa wa aibu katika kuonea au kudhuru wenzao wataendelea kuwepo duniani.Na hata hivi ninapoandika wamezaliwa.Wema pia wamezaliwa. Wapo hata mwisho wa dahari.

Sasa huwezi kuacha kutafuta haki kisa eti imewahi kuamuliwa vinginevyo na mahakama huko nyuma.Maamuzi yoyote hasi katika jambo lolote lile ni fursa.Ni nafasi nyingine ya kupata upenyo na kufikia ndoto yetu.
 
kwahyo leo hii dr slaa ana imani na mahakama za tanzania??? si alisemaga mahakama zinatumika na ccm ila leo hii anaamini zipo huru ila wapinzani ndio hawafuati sheria????

hivi amesahau mbowe alifungua kesi mwanza ya kuomba tafsiri ya kwanni mikutano ya hadhara inazuiwa ila mwisho wa cku mahakama ikawakufanyshindi tamko la polisi!!!!

funny

Hiki unachotaka kukisema hapa ni hulka ya kufanya hukumu bila kosa kufanyika kwanza (prejudgement).Vyombo vyote vya dola kwa asili yake havijawahi partial isipokuwa mtu mmoja mmoja kwa maslahi yake au kupotoka au vinginevyo.

Mahakama in stricto sense, is impartial.Kunaweza kuwa na mahakimu au majaji hapa na pale ambao huamua kuchukua upande katika mashauri kadhaa na hilo haliifanyi Mahakama kuwa kama alivyowahi kusema Dokta au unavyoamini wewe.Tatizo letu tunaathiriwa na historia.Kila kitu mbona ....imewahi kuwa hivi....! Dunia haisimami na watu "wahuni" na wasio na mshipa wa aibu katika kuonea au kudhuru wenzao wataendelea kuwepo duniani.

Na hata hivi ninapoandika wamezaliwa.Wema pia wamezaliwa. Wapo hata mwisho wa dahari.Sasa huwezi kuacha kutafuta haki kisa eti imewahi kuamuliwa vinginevyo na mahakama huko nyuma.Maamuzi yoyote hasi katika jambo lolote lile ni fursa.Ni nafasi nyingine ya kupata upenyo na kufikia ndoto yetu.
 
Dr slaa hawezi ikwepa Laana ya kiapo cha upadre alichoapa ndio maana kila anachoanzisha huwa hakifanikiwi laana ya upadre ni mbaya Sana. Pole slaa Kwa Laana hiyo maana sasa huna tofauti na bashite.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
uzuri wa dr slaa hakuwa na bei kama alivyozoea kusema...yeye alitimiza wajibu wakisheria basi...aliyemkatalia kufanya mkutano wakati ametimiza masharti slaa aliforce king na kutafuta haki yake ya msingi tena akiwa mbele....nazani ndicho anachojaribu kusisitiza

Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
 
I

Ukiangalia hiyo clip kwa umakini utaona Dr. Slaa alitoa sighn flani alivyo kua akiingia ndani mpaka mwana usalama akageuka kuangalia kamwonyesha nani.
Point yangu sio kwamba anataka fanya hivi bali kashikwakubaya kwa werevu mtakua mmenielewa
Ukifikiri sana, lazima utafika kwenye conclusion yako kwa jinsi Dr. Mihogo na Le profesor Lip wanavyo behave kwa sasa.
 
Dr Slaa salaam,

unaweza kututhibitishia wakati ukiwa katibu mkuu wa Chadema kama mlikuwa mnaomba vibali kwa mikutano ya ndani?

pia kumbuka ulituachia Chadema ya harakati sasa wanasema harakati basiii , sijui wanafanya nini ngoja tuone, itakuwaje

Ni wazi kuwa CHADEMA ndio inakufa au inafanya timing fulani, ni mapema sana kwangu kuwalaaumu viongozi hao.
 
Hiki unachotaka kukisema hapa ni hulka ya kufanya hukumu bila kosa kufanyika kwanza (prejudgement).Vyombo vyote vya dola kwa asili yake havijawahi partial isipokuwa mtu mmoja mmoja kwa maslahi yake au kupotoka au vinginevyo.Mahakama in stricto sense, is impartial.Kunaweza kuwa na mahakimu au majaji hapa na pale ambao huamua kuchukua upande katika mashauri kadhaa na hilo haliifanyi Mahakama kuwa kama alivyowahi kusema Dokta au unavyoamini wewe.Tatizo letu tunaathiriwa na historia.Kila kitu mbona ....imewahi kuwa hivi....! Dunia haisimami na watu "wahuni" na wasio na mshipa wa aibu katika kuonea au kudhuru wenzao wataendelea kuwepo duniani.Na hata hivi ninapoandika wamezaliwa.Wema pia wamezaliwa. Wapo hata mwisho wa dahari.Sasa huwezi kuacha kutafuta haki kisa eti imewahi kuamuliwa vinginevyo na mahakama huko nyuma.Maamuzi yoyote hasi katika jambo lolote lile ni fursa.Ni nafasi nyingine ya kupata upenyo na kufikia ndoto yetu.
Hivi umeelewa kwanni nmetumia historia kujenga hoja???

nmesema dk slaa aliwahi kusema kuwa mahakama za tanzania hazina uhuru maana zinaingiliwa na ccm kwenye maamuzi yao akitolea mfano wa kesi ya lwakatare sasa ndio najiuliza ina maana kasahau yye ndio alituambia mahakama sio huru ssa iweje kma maneno yake ni ya kweli atushauri tena twende hukohuko mahakamani ambapo hukumu itatolewa kwa kuingiliwa na maamuzi ya ccm watakavyotaka????

Hivo ndio nlichomuuliza basi ssa hayo yako ya kuniwekea lugha ya kigeni humu ili nikuone msomi hayana tija kabisa
 
Siwezi kuamini kama mwandishi wa makala haya ameshasahau aliyokuwa analalamikia alipokuwa bado ndani ya chama na yeye pia alikuwa miongoni mwa wale waliokuwa wanakumbwa na mikikimikiki kwa ajili ya kutetea demokrasia nchini. Hata kama anadai amestaafu siasa angekuwa katika hali nzuri zaidi ya kuwa objective na kutoa ushauri na kuonyesha njia na siyo kujifanya kama hajui katika nchi zetu hizi za Afrika bado kuna shida ya kuheshimu katiba, utawala wa sheria, haki za binadamu na demokrasia (hasa uhuru wa kutoa maoni).
 
ndo kazi yake ya sasa hivi,yuko kazini,hata mkewe ukienda kule facebok kajaa michuki tu,akisikia kina mdee wako ndani posts zake ni za kushangilia,hii couple wamekua kama wachawi vile.
Anatumiaa kajinaa ganii ukoo nikaperuziiii
 
Slaa Bora upumzike utuachie inchi yetu, wewe mbona ulipigwa mabomu kule Arusha na mkeo wakamtoa midamu, inamaana na wewe hukufuata utaratibu????

Umeshachoka wewe au umeshiba tayari, mwenye shibe huwa hakumbuki mwenye njaaa
 
Mie naomba picha tu ndo ziongee
tapatalk_1472540191576.jpeg
 
Dr.Slaa Mungu anakuona...

Malipo ni hapa hapa, ipo siku tu, Canada unapita tu, Tanzania ndio kwenu.

Kilio chako kitakuwa kikubwa kuliko hichi tunachoumizwa sasa sisi watanzania.

Leo hii unafurahia wanyonge kuumizwa, unajifanya huoni kinachofanyika, unajifanya hujui kinachoendelea...
 
Hakuna haki bila wajibu, wajibu wa kila chama ni kutoa notice kabla hakijaitisha mkutano ama kikao chchote, Sasa wengine wanaamua kujiitishia vikao tu bila kufuata sheria na taratibu!! Utafikiri ni kikao cha Baba na watoto wake!!!

Ni lazima kila kiongozi wa chama cha siasa akumbuke kuwa hii ni nchi inayoongozwa na viongozi waliotokana na Umma, kwahiyo ni lazima waheshimu mamlaka, na kama hawawezi wahame nchi kwa mda hadi pale watakapoweza kutii mamlaka ndipo warudi, hatubembelezani sasa hivi hilo wakae wakilijua.
 
Back
Top Bottom