minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
CCM wachache wenye Roho mbaya na vijana wa Le mutuz kubwa jinga wamejitahidi kupangua mawe ya watanzania wengi wapenda siasa za Aman lakini hawataweza kamwe dhambi za Maliyamungu zinawasuta moyoni mwao.Safi. hii barua i wish ingesambazwa kwenye media zote ili ipate kufahamika na watz waote.