Kukaa nje ya mji napo kuna hitaji uvumilivu

Cesc Henry Sn

JF-Expert Member
Nov 8, 2012
217
123
Habari za wikiendi wakuu,

Naomba kuuliza hivi hawa ndege warukao wana akili kama za samaki au inakuwaje kwenye ubongo wao?

Maana hapa kwangu huu mwezi sasa kuna vindege viwili ikifika alfajiri tu kukianza kukucha basi wanakuja kwenye madirisha na kuanza kugonga dirisha la kioo hata kama siku umepanga uchelewe kuamka wao ni wanagonga tuuuu na utaamka tu, yaani kama wana gombana na mwenzao kwa namna wanavyo jiona, hii upelekea kugonga kioo hata siku nzima hadi jioni giza likingia wanaondoka au labda tu nadhani njaa zikiwabana wanaenda kula ila wanarudi na kazi huwa ile ile.

Ukifukuza upande huu wao wanaenda upande mwingine, nimebaki niwavumilie tu labda watazoea

Nimeweka video fupi hapo unaweza kuona...Tapatalk Cloud - Downlaoad File VID_20170604_123213_01.mp4
 
Habari za wikiendi wakuu,

Naomba kuuliza hivi hawa ndege warukao wana akili kama za samaki au inakuwaje kwenye ubongo wao?

Maana hapa kwangu huu mwezi sasa kuna vindege viwili ikifika alfajiri tu kukianza kukucha basi wanakuja kwenye madirisha na kuanza kugonga dirisha la kioo hata kama siku umepanga uchelewe kuamka wao ni wanagonga tuuuu na utaamka tu, yaani kama wana gombana na mwenzao kwa namna wanavyo jiona, hii upelekea kugonga kioo hata siku nzima hadi jioni giza likingia wanaondoka au labda tu nadhani njaa zikiwabana wanaenda kula ila wanarudi na kazi huwa ile ile.

Ukifukuza upande huu wao wanaenda upande mwingine, nimebaki niwavumilie tu labda watazoea

Nimeweka video fupi hapo unaweza kuona...Tapatalk Cloud - Downlaoad File VID_20170604_123213_01.mp4
hahaha una mtihani hapo....kwannza mijue hiko kiooo ni tinted????

kama ndio basi hao watakuwa wanajiona tu na kupata wenge, kama uliwahi fuga samaki wa urembo utaona hii kitu....Ndege hawajapata exposure hao mkuuu.
 
hahaha una mtihani hapo....kwannza mijue hiko kiooo ni tinted????

kama ndio basi hao watakuwa wanajiona tu na kupata wenge, kama uliwahi fuga samaki wa urembo utaona hii kitu....Ndege hawajapata exposure hao mkuuu.
Yaa mkuu ni cha tinted... Sasa kuna Wakati ukiwa ndani wakiwa upande mwingine unaweza hisi mtu anakupigia hodi kumbe wao
 
viache tu endelea kufurahia uumbaji wa mungu ila vikianza kuchafua vifukuze
 
Yaa mkuu ni cha tinted... Sasa kuna Wakati ukiwa ndani wakiwa upande mwingine unaweza hisi mtu anakupigia hodi kumbe wao
Viache usiviue. Baraka ya asili katika nyumba.

Baadaye utazoea na kufurahia michezo yao.

Kuna Watu kama Mimi hatuwezi kupata usingizi redio ikiwa inapiga muziki na kuna wengine hawalali bila Muziki
 
Back
Top Bottom