Loyal_Merchant
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 623
- 267
Nimekuwa nikisikia kwamba uzito wa mtoto ambaye bado hajazaliwa unaweza julikana kwa kutumia vipimo maalumu. Ninachojiuliza ni concept behind ya hivi vipimo ni ipi mpaka uzito wa mtoto alie tumboni unapimwa ilhal bado yupo tumbon mwa mama yake..?