Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Kuna kitu iwa kinanitatiza sana katika haya mahusiano ya mapenzi nacho ni kujua na kutojua.....naamini wengi iwa inawauma sana ukijua mpenzi wako anatoka nje ya ndoa. Je ni bora kuendelea kutojua?
Unajisikiaje ukichukua simu ya mpenzi wako na ukazama kwenye message na kujua anawanamke wengine wengi?
Jamani nisaidieni katika mapenzi ni bora kujua au kutojua anacho fanya mpenzi wako hususani na love affairs?
Unajisikiaje ukichukua simu ya mpenzi wako na ukazama kwenye message na kujua anawanamke wengine wengi?
Jamani nisaidieni katika mapenzi ni bora kujua au kutojua anacho fanya mpenzi wako hususani na love affairs?